Eboo
Member
- Aug 22, 2019
- 43
- 55
Habarini wanajamvi, kwa anaeitaji mtaalamu wa graphic design, website and blogs development, mobile apps development na maswala yanayoshabihana na mambo ayo pamoja na mambo mengine ya ICT asisite kunijuza
Nina uzoezi wa miaka 4 kwenye ayo mambo apo juu
Nimetengeza websites na blogs tofauti tofauti ambazo zipo active adi sasa za makampuni na watu binafsi(sitaziorodhesha)
Nimetengezeneza apps mbali mbali zilizopo praystore na appstore za makampuni tofauti tofauti na watu binafsi (sitazitaja)
Nimemanage social medias za makampuni tofauti tofauti kwa kiwango cha juu
Mfano wa kazi zangu za graphics
Kwa mawasiliano unaweza kunitafuta kwa normal text and calls pia whatsapp kwa namba 0744120490
Nina uzoezi wa miaka 4 kwenye ayo mambo apo juu
Nimetengeza websites na blogs tofauti tofauti ambazo zipo active adi sasa za makampuni na watu binafsi(sitaziorodhesha)
Nimetengezeneza apps mbali mbali zilizopo praystore na appstore za makampuni tofauti tofauti na watu binafsi (sitazitaja)
Nimemanage social medias za makampuni tofauti tofauti kwa kiwango cha juu
Mfano wa kazi zangu za graphics
Kwa mawasiliano unaweza kunitafuta kwa normal text and calls pia whatsapp kwa namba 0744120490