Kujenga viwanda vya magari sio suala gumu, bali ugumu upo kwenye mambo yafuatayo

Kujenga viwanda vya magari sio suala gumu, bali ugumu upo kwenye mambo yafuatayo

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Kiwanda cha magari hakigharimu fedha nyingi sana mfano ukiwa na tsh billion 300 unaweza fungua kiwanda cha magari kizuri cha kisasa navyosema ni ndogo ni pale navyo-compare na smelting na refining na sio na kitu kingine

Gari linatumia vitu vifuatavyo kulitengeneza
  1. Steel kwa ajili ya bodi ya gari na parts za engine
  2. Aluminium kwa ajili ya kutengenezea parts za engine
  3. Copper kwa ajili ya kusuka mota kwenye swala la magari ya umeme
  4. PcB kwa ajili mfumo wa umeme wa gari
  5. Silicon wafer kwa ajili ya kutengenezea semiconductor kumbuka magari yanatumia semiconductor
  6. Glass kwa ajili ya vioo
  7. Plastic
  8. Natural Rubber kwa ajili ya matairi

Ili utengeneze gari Tanzania inakubidi vitu nilivyovitaja hapoo juu uvi-import kwa maana hiyo hata ukisema unimport hivyo vitu basi gari utakalotengeneza hapa Tanzania litakuwa expensive na halitaweza kushindana kwenye soko la dunia

Ili tuweze kutengeneza magari hapa Tanzania inatakiwa tuwe na better ecosystem ya smelter kama ya steel, Aluminium, glass, petrochemical na pcb kama sehemu ya kuwa na better supply chain nzuri

NIKIWA RAIS WA TANZANIA KUTAKUA NA MPANGO WA KUZALISHA MAGARI UNIT MILLION 10 KWA MWAKA HII ITAKUWA NA FAIDA NYINGI SANA KWA NCHI

 
Mkuu umeongea juu juu sana
Huyo mchina na ujanja wake wote mpaka leo semiconductor zimemtokea puani na anaagiza marekani..

Hii nchi yetu ilivyokuwa hivi usishangae hilo gari likawekewa tozo mpaka kufikia gari moja kuuzwa bilion moja

Majuzi tu hapo bajaji ilikua inauza m4 lakin saiv inagonga mpka 12m

Hiz pkpk za boxer hazizidi m1 ila tukisema tutengeneze sisi utashuhudia zikiuzwa had m10

Reference nenda sido kaulizie kiatu cha ngozi kinauzwa bei gani halafu uje hapa jukwaani tusikitike kwa pamoja


Africa kwa ujumla tu hatupo serious sisi tuletewe tule tukalale.

Tuna taasisi zinazodili na mambo ya tecknolojia ila jiulize mpaka saiv ni bidhaa gani ambayo imetoka mikononi mwao na kumfikia mwananchi?

Wacha tuendelee kupiga chini window 7 na kupandisha 11
 
Mkuu umeongea juu juu sana
Huyo mchina na ujanja wake wote mpaka leo semiconductor zimemtokea puani na anaagiza marekani..

Hii nchi yetu ilivyokuwa hivi usishangae hilo gari likawekewa tozo mpaka kufikia gari moja kuuzwa bilion moja

Majuzi tu hapo bajaji ilikua inauza m4 lakin saiv inagonga mpka 12m

Hiz pkpk za boxer hazizidi m1 ila tukisema tutengeneze sisi utashuhudia zikiuzwa had m10

Reference nenda sido kaulizie kiatu cha ngozi kinauzwa bei gani halafu uje hapa jukwaani tusikitike kwa pamoja


Africa kwa ujumla tu hatupo serious sisi tuletewe tule tukalale.

Tuna taasisi zinazodili na mambo ya tecknolojia ila jiulize mpaka saiv ni bidhaa gani ambayo imetoka mikononi mwao na kumfikia mwananchi?

Wacha tuendelee kupiga chini window 7 na kupandisha 11
Mchina anapenda shortcut ndo maana semiconductor zimemshinda japokuwa anapambana sana kuzi-master sio tu hizo hata combustion engine China zilimpa changamoto sana ndo maana kawekeza nguvu kubwa sana kwenye magari ya umeme

Hata kwenye pharmaceutical mchina bado ana-struggle sana sababu pharmaceutical kama ilivyo semiconductor haitaji ujaujanja bali ufahamu wa hali juu ili mtu aweze kuzi-master

Tanzania bidhaa nyingi zinazozalishwa Tanzania ni bei ghali kwa sababu ya uwepo wa kodi na tozo nyingi na serikali kutokutoa subsidy

Kwa hizo changamoto ndo maana mimi nataka kuwa Rais ili kuweza kuziondoa sababu ni kikwazo kikubwa sana kwa maendeleo ya viwanda Tanzania
 
Mchina anapenda shortcut ndo maana semiconductor zimemshinda japokuwa anapambana sana kuzi-master sio tu hizo hata combustion engine China zilimpa changamoto sana ndo maana kawekeza nguvu kubwa sana kwenye magari ya umeme

Hata kwenye pharmaceutical mchina bado ana-struggle sana sababu pharmaceutical kama ilivyo semiconductor haitaji ujaujanja bali ufahamu wa hali juu ili mtu aweze kuzi-master

Tanzania bidhaa nyingi zinazozalishwa Tanzania ni bei ghali kwa sababu ya uwepo wa kodi na tozo nyingi na serikali kutokutoa subsidy

Kwa hizo changamoto ndo maana mimi nataka kuwa Rais ili kuweza kuziondoa sababu ni kikwazo kikubwa sana kwa maendeleo ya viwanda Tanzania
Kwaiyo semiconductor iliyomshinda mchina wewe utakuja kuitatua?

Teknolojia sio jambo jepesi kama unavyofikiria nenda kawaulize wenzio waliojaribu magari ya nyumbu.

China hajashindwa kwenye engine bali yeye analazimisha kupunguza gharama za uzalishaji na hapo ndipo anapotengeneza vitu vyenye ubora wa muda mfupi. Kuzidisha alminium kwenye block kunapunguza uimara wa engine
 
Kwaiyo semiconductor iliyomshinda mchina wewe utakuja kuitatua?

Teknolojia sio jambo jepesi kama unavyofikiria nenda kawaulize wenzio waliojaribu magari ya nyumbu.

China hajashindwa kwenye engine bali yeye analazimisha kupunguza gharama za uzalishaji na hapo ndipo anapotengeneza vitu vyenye ubora wa muda mfupi. Kuzidisha alminium kwenye block kunapunguza uimara wa engine
Tatizo unaamini mwafrika hawezi kitu ndo fikra kama zako viongozi wengi wanazo

Yes tunaweza ku-master semiconductor na kama nchi tutatengeneza high purity silicon wafer sababu ndo sehemu ngumu sana kwenye kutengeneza semiconductor

China hajaweza kuimaster combustion engine kama ilivyo kwa mjerumani au mmarekani huo ndo ukweli
 
Tatizo unaamini mwafrika hawezi kitu ndo fikra kama zako viongozi wengi wanazo

Yes tunaweza ku-master semiconductor na kama nchi tutatengeneza high purity silicon wafer

China hajaweza kuimaster combustion engine kama ilivyo kwa mjerumani au mmarekani huo ndo ukweli
Tatizo lako dogo ukishashiba kande na kuvimbiwa hapo Kwa shemeji yako mume wa dada yako chochote kinakujia akilini unakuja kushare na Sisi.

Unaishi ulimwengu wa fantasy na illusion.

Unachukulia mambo kirahisirahisi tu kamakunya.
 
Tatizo lako dogo ukishashiba kande na kuvimbiwa hapo Kwa shemeji yako mume wa dada yako chochote kinakujia akilini unakuja kushare na Sisi.

Unaishi ulimwengu wa fantasy na illusion.

Unachukulia mambo kirahisirahisi tu kamakunya.
Hakunaga tuzo ya kuongea pumba
Endelea kuongea pumba sababu unachangamsha uzi
 
Mkuu umeongea juu juu sana
Huyo mchina na ujanja wake wote mpaka leo semiconductor zimemtokea puani na anaagiza marekani..

Hii nchi yetu ilivyokuwa hivi usishangae hilo gari likawekewa tozo mpaka kufikia gari moja kuuzwa bilion moja

Majuzi tu hapo bajaji ilikua inauza m4 lakin saiv inagonga mpka 12m

Hiz pkpk za boxer hazizidi m1 ila tukisema tutengeneze sisi utashuhudia zikiuzwa had m10

Reference nenda sido kaulizie kiatu cha ngozi kinauzwa bei gani halafu uje hapa jukwaani tusikitike kwa pamoja


Africa kwa ujumla tu hatupo serious sisi tuletewe tule tukalale.

Tuna taasisi zinazodili na mambo ya tecknolojia ila jiulize mpaka saiv ni bidhaa gani ambayo imetoka mikononi mwao na kumfikia mwananchi?

Wacha tuendelee kupiga chini window 7 na kupandisha 11
Inasikitisha sana kaka
 
Back
Top Bottom