Kujenga ukuta Mererani haitaweza kutatua tatizo la utoroshaji wa madini

Mi naunga mkono kujenga UKUTA tena kama ule wa september mosi mwaka jana uliozuwiwa na watu wanaojulikana na magari yao yanayowashwawashwa. Tehe tehe tehe .......
 
Nadhani kujenga ukuta kila mahali si suluhu,na tutakuwa tunakimbia tatizo

Kwa nini watanzania wanaona afadhali kuuza bidhaa nchi jirani kuliko hapa nchini?

Maana si Tanzanite tu,hata mahindi,watanzania wanatamani kuuza mahindi yao Kenya,Sudan Kusini,Malawi,huko wanapata faida kubwa ambayo huirejesha nchini,au hubaki hapa nchini,je na huko tujenge ukuta kuwazuia wasipeleke mahindi nje? Ukuta ndio suluhu?

Kahawa,wananchi wanapeleka kahawa kenya na Uganda hata kwa magendo,sababu ni nini? Huko wanapata bei nzuri sana ambayo inawalipa maradufu kuliko wakiuza nchini,je tujenge ukuta kuzunguka mikoa ya Kilimanjaro ,kagera na kwingine inakolimwa?

Sehemu nyingi za nchi zinachimbwa Dhahabu,almasi,na madini mengine mengi, je na huko tujenge ukuta?

Nchi hii si itajaa ngome kila mahali?

Nashauri serikali itafiti, kwa nini watanzania wanapeleka Tanzanite kwa njia yoyote ile kule wanakopeleka,vinginevyo nchi hii itajaa ngome na kura za Matofali

Wataalamu wa biashara wakae chini watatue tatizo kitaalamu
Good analysis.
 
Nadhani kujenga ukuta kila mahali si suluhu,na tutakuwa tunakimbia tatizo

Kwa nini watanzania wanaona afadhali kuuza bidhaa nchi jirani kuliko hapa nchini?

Maana si Tanzanite tu,hata mahindi,watanzania wanatamani kuuza mahindi yao Kenya,Sudan Kusini,Malawi,huko wanapata faida kubwa ambayo huirejesha nchini,au hubaki hapa nchini,je na huko tujenge ukuta kuwazuia wasipeleke mahindi nje? Ukuta ndio suluhu?

Kahawa,wananchi wanapeleka kahawa kenya na Uganda hata kwa magendo,sababu ni nini? Huko wanapata bei nzuri sana ambayo inawalipa maradufu kuliko wakiuza nchini,je tujenge ukuta kuzunguka mikoa ya Kilimanjaro ,kagera na kwingine inakolimwa?

Sehemu nyingi za nchi zinachimbwa Dhahabu,almasi,na madini mengine mengi, je na huko tujenge ukuta?

Nchi hii si itajaa ngome kila mahali?

Nashauri serikali itafiti, kwa nini watanzania wanapeleka Tanzanite kwa njia yoyote ile kule wanakopeleka,vinginevyo nchi hii itajaa ngome na kura za Matofali

Wataalamu wa biashara wakae chini watatue tatizo kitaalamu

Hao wanaopeleka mazao yao nje hawalipi kodi mipakani,
Hawa wa Tanzabite nao walipie kofi then wataamua wenyewe pa kwenda kuyauzia, simple.
 
Mererani mawe yao kamwe hayatadhibitiwa na ukuta ambao huo mlango ni ufisadi tu utaendelea na huku kuta zikishindwa kuzuia mashimo yanayopitilizia upande wa pili au hata ukuta kulipuliwa kila kukicha

Tukumbuke baruti wanazo
 
Tutaweka hata kambi za jeshi pembezoni mwa mgodi, hakuna kitakacho shindikana, hakuna kukatiza mtu maeneo yasiyohusika.
 
Akili za yule dr anazijua mwenyewe, zamani nkisikia mtu ana phd nlikuwa nashtuka kumbe phd nyingine zmejaa nzi tu..
 
Jidula hebu mshaurini huyo ndugu yenu. Hivi kweli kwa akili yake anadhani kujenga ukuta, kuweka kamera za ulinzi na kutumia geti moja ndio tiba ya wizi wa Tanzanite??

Sasa mkimshauri ninyi halafu akakataa basi atakuwa ni sikio la kufa.

Mbona wewe umeshindwa kutoa huo ushauri hapa?hili swala lilipendekezwa na kamati ya bunge, Magu ameliafiki tu.Hamkukosoa lilipotolewa hili wazo na bunge, leo mnalikosoa kwa sababu tu rais amelipitisha?
 
Ni ukubwa wa Squre kilomita ngapi eneo hili ?
Njia bora ni bei.
Ikiwa tutaweka bei au wanunuzi wakaweka bei nzuri basi magendo yataondoka.
Wizara ifungue ofisi ya kununua Tanzanite Arusha kwa bei inayo eleweka. Hakutakua na magendo. Then wao ndio wauze nje.
Wasiweke vikwazo kwa wauzaji.
Tatizo hili lilikuwepo Pemba na karafuu.
Serikali iliunda jeshi zimma na meli za kivita KMKM kuzuia magendo ya karafuu ikashindikana.
Miaka mitano ilopita waliammbiwa wacheni kuweka bei ya dhulma. Wapeni wakulima haki yao. Leo bei ya karafuu ni kubwa hakuna tena magendo. Kila mtu anauza ZSTC.
Kwanza hao wanao kaa kwenye mageti hawana njaa ?
Mageti hata mwari anatoroshwa...
 
Km za mraba 87 wow thamani ya tanzanite inatokona Na mauzo ya nje hao wazungu wakisabotage soko? Na hizo tanzanite chini zimemebaki kiasi gani? Kufidia gharama Na kuleta faida au ndo kujenga kila Kona kujenga jamaa bado anadhani yupo wizara ya ujenzi au
Wengi hawajui ref zimbabwe black diamonds
 
Uzio ukijengwa wazungu koko na vibaraka wataufyta sasa hivi ngoja mpige porojo .
Meja General Michael, alisema hawatacheka na mtu atayeweka kizuizi mbele yao katika kulinda Mali za nchi na kujenga uzio. Ni agizo amepewa na CDF naye CDF aliagizwa na Amiri Jeshi Mkuu, President, Dr. Magufuli.

Mean that, wasaliti wote imekula kwenu.
Mkichuchumaa nchale, Mkiinuka tu nchale, mkisimama nchale, mkikimbia nchale hadi mauti ikufikeni wasaliti wote.

Live longer our President, Dr. Magufuli and keep high the flag of Tanzania.
 
Pingapinga naona mmeshavamia kama kawaida yenu. Ukuta utajengwa na vifaa vya ulinzi vitawekwa. Endeleeni kujidanganya muone kama mnaweza kushindana na Serikali inapoamua Jambo na kutilia mkazo. Mnafikiri kwa nini jukumu hilo wamepewa JWTZ na sio kandarasi za kawaida! MAJIZI ya rasilimali zetu Mtajuta kuifahamu serikali ya awamu hii.
Jionee mwenyewe inavyotokea kwingine!!!
 

Attachments

  • Nyoka.mp4
    3.6 MB · Views: 14
N
Cha msingi ni kuondoa wachimbaji wadogo wote ili utaratibu maalum uwekwe na wizara ya madini.
Changamoto za uchimbaji holela wa madini uwekewe sera inayoeleweka, na itumike itumike nchi nzima.
Hapa ndipo anaposhindwa magufuli kutengeneza mfumo wa kudumu yeye anatengeneza mifumo ya zima moto. Huyu jamaa yaonekana hata vitabu huwa hasomi huyu
 
sijaelewa hapa,yaani jamaa anachimba chini kwa chini anatoka nje ya ukuta halafu anatoboa kwa juu anasepa?
 
Back
Top Bottom