Siyabonga101
JF-Expert Member
- Mar 8, 2016
- 2,424
- 2,297
Hoja yako ni nini? UZANDIKI umewajaa mpaka unawavuja.Angalia sana mkuu, msukule unaweza kuwa wewe usiyejua kutumia akili ingawaje umejalia kuwa na kichwa kizuri.
Kichwa kisiwe cha kutunzia nywele na kuzichana kila asubuhi, kitumie kufikiri vile vile, na ukumbuke kuwa kichwa si pambo!
Tunatoa maoni mbadala ili uchumi na rasilmali zetu ziwatumikie watanzania vile vile na si wageni.
Nyie msio na uwezo wa kuafakari mawazo mbadala, kuboresha hali iliyopo ni bora mkapige deki vyoo ingalau mtumike vizuri.
Shame on you.