Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,535
kwa kweli nimepigwa na butwaaWatu wanatorosha via airport, sembuse ukuta!
kwa kweli nimepigwa na butwaaWatu wanatorosha via airport, sembuse ukuta!
Ila mheshimiwa rais ameliwekea msisitizo anaonekana tofauti kabisa.Kweli kabisa suala la ukuta lilikuwa suggested na team ya wataam baada ya madini ya Tanzanite kuusishwa na ugaidi watz tatizo lao kila mtu mjuaji
Mkuu akili ni nywele, kila mtu ana zake!Ila mheshimiwa rais ameliwekea msisitizo anaonekana tofauti kabisa.
Watz tunajifanya wajuaji sana mkuu. Namtakia mheshimiwa rais asilegeze msimamo wake.
Sawa kabisa uncle, ukuta lazima uwepo, kupunguza wizi wa kijinga, swala atakayeiba akipatikana, namhurumia...Uzuri inajulikana, Kwa Tanzania hakuna jambo utakaloanzisha lisipingwe, bora tu kukaza uliposhika OVA
Ha ha ha!Napendekeza tujenge UKUTA nchi nzima ili kuwadhibiti wezi wa mali asili zetu - tuanchie gate moja tu la kuingilia na kutokea nchini. Tena hawa wazungu wakipita getini wasachiwe saana maana hawa ndiyo suspect numberi one.
You can not stop stealing instead controlView attachment 593349
Pamoja na nia njema ya Rais wetu kudhibiti Tanzanite katika machimbo huko Mirerani, hii ya kujenga ukuta kuzunguka eneo zima la Mirerani laweza kutotatua tatizo hata kwa chembe.
Tukumbuke tunaongelea wachimbaji, huko wanaitwa nyoka!
Sifa kubwa ya hawa wachimbaji wadogo ni kukosa any sort of order katika uchimbaji wa madini hayo.
Ugomvi mkubwa wa Tanzanite One na hawa achimbaji wadogo ni kwamba wakifika huko chini ya ardhi, its a lawless land down there.
Nyoka anafuata mkondo wa jiwe la Tanzanite kule linakoenda iwe juu, chini, mashariki au kusini.
Jiwe likienda hata nje ya mipaka mliyowekeana juu ya ardhi huko chini hakuna beacon ya kuonyesha hiyo mipaka.
Changamoto yangu hii hapa:
Je mtu tayari amejengewa ukuta, na ana mawe yake mfukoni, kwani kuchimba mtaro mwingine chini ya ardhi ili kutorosha atashindwa nini?
Hili ni swala mbalo huko Israeli waPalestina wanawasumbua sana waYahudi katika kuingiza silaha huko ukanda wa Gaza.
Si vibaya wizara ya madini ikalifikiria hili kwa makini.
Nia ya Ras ni njema, lakini methodology ya kutatua tatizo ina ukakasi.
Kibonzo source: The Guardian, leo 22/9/2017
Kabisa ukisikiliza kelele utashindwa kufanya kazi,nchi yenyewe imejaa wajuaji.Uzuri inajulikana, Kwa Tanzania hakuna jambo utakaloanzisha lisipingwe, bora tu kukaza uliposhika OVA
Misukule pingapinga naona mmeshavamia kama kawaida yenu. Ukuta utajengwa na vifaa vya ulinzi vitawekwa. Endeleeni kujidanganya muone kama mnaweza kushindana na Serikali inapoamua Jambo na kutilia mkazo. Mnafikiri kwa nini jukumu hilo wamepewa JWTZ na sio kandarasi za kawaida! MAJIZI ya rasilimali zetu Mtajuta kuifahamu serikali ya awamu hii.