otimbiotimbi
Senior Member
- Dec 12, 2019
- 100
- 135
Ukipata hela utajenga kwanza nyumba au utanunua kwanza gari kali?
ujachelewa kiuze ununue hata namba bGari muhimu bila gari huli mbususu mie najutia mpaka kesho kununua kiwanja
Mzeya kuuza kiwanja sio nyanya hizo watu wanataka kukulalia tuuujachelewa kiuze ununue hata namba b
shida iko wapi si waongeza hela uvute ndingaMzeya kuuza kiwanja sio nyanya hizo watu wanataka kukulalia tuu
Ukiwa na hii hapo chini Ferrari 488 Pista 2019 used utakula mbusisu yoyote duniani. Hadi uitoe bandarini Dar billion mbili na nusu.Gari muhimu bila gari huli mbususu mie najutia mpaka kesho kununua kiwanja
Yaani katika kitu siwezi fanya duniani ni kununua gari ya mamillion. Bora nione wake wanne niwatunze kuliko kuwa na gari la billion.....starehe yangu mbususu sio kuendesha gari la mabilionUkiwa na hii hapo chini Ferrari 488 Pista 2019 used utakula mbusisu yoyote duniani. Hadi uitoe bandarini Dar billion mbili na nusu.
View attachment 2433994View attachment 2433995
Robot la Matope
Kiwanja kipo wapi tuvunje na gari ili ukale mbususu vizuri.Gari muhimu bila gari huli mbususu mie najutia mpaka kesho kununua kiwanja
Kipo daresalamaKiwanja kipo wapi tuvunje na gari ili ukale mbususu vizuri.
Unasema tu, ngoja uzipate tuone kama hatutakutana sheliSitajenga Nyumba na Wala sitanunua gari
Zote hizo sio Asset ila Liability yaani madeni.
Mimi nitaifanyia biashara haijalishi kama nitapata faida au hasara.
GADEMU!!!!!ushawahi kuona nyumba imepaki bar ?
Kupata hasara nako siyo LIABILITY?Sitajenga Nyumba na Wala sitanunua gari
Zote hizo sio Asset ila Liability yaani madeni.
Mimi nitaifanyia biashara haijalishi kama nitapata faida au hasara.
😂😂😂😂😂 Naonaga vyoo tuUshawahi kuona nyumba imepaki bar?