Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,596
- 93,316
Humjui William wewe, wenzako moderators hapo wanakucheka tu, huyu huwa anapiga simu kabisa baadhi ya post zifutwe lakini huwa akikutana na Moderator ngangari huwa wanampotezea tu, huyu jamaa amezoea kule Facebook aki update status tu basi anagongewa LIKE na comment za kumtukuza, ukienda kinyume na anavyopenda yeye anadelete comment yako au anakublock kwenye friends wake.kitu nilichokipenda kwa william ni uhubutu,kujiamin,na uwezo wa kumudu stress za jf...!
kila la heri
Bwana William,
Kumekuwa na taarifa nyingi kupitia vyombo vya habari asubuhi ya leo kuwa hili zoezi lenu limetawaliwa na mchezo mchafu wa rushwa mpaka chama kikuu cha upinzani kutaka kususia zoezi hili, wewe kama kweli umejengwa na JF (kwa maelezo yako) unaweza kutueleza wana JF umehonga kiasi gani cha pesa kwa hao waheshimiwa ili nawe upate kuwa mheshimiwa?
- Off course, any JF member akigombea anything positive kwa Taifa, anawakilisha JF! au? ha1 ha! ha!
William @Dodoma City!
- Well, thank you brother sasa lets hope for the best na tukipewa nafasi ninasema kwamba tutakwua makini kwa sababu ishus za land ownership, free flow of labour, one currency, na Federation ni very challenging I hope Wabunge wetu wanaelewa hilo, kwamba kwenye all Regional Intergrations in the World kwenye treaty zao kuna one same principle nayo ni kwamba kama one patner state is not satisfied na mwenendo wa any element in the Union, wana haki ya ku-pull back kwa muda mpaka watakapokuwa tayari na it is ok by all the treaties in the World.
- Ninasema ni muhimu sana kuwepo kwetu kwenye EAC, kwa sababu mfano wa United States wao kama sio Union walikuwa wamesshasmbaratishwa na The Great Depression na sisi tujifunze!
Thanks Mkuu!
William @Dodoma City!
- Off course, any JF member akigombea anything positive kwa Taifa, anawakilisha JF! au? ha1 ha! ha!
William @Dodoma City!
- Well, thank you brother sasa lets hope for the best na tukipewa nafasi ninasema kwamba tutakwua makini kwa sababu ishus za land ownership, free flow of labour, one currency,na Federation ni very challenging I hope Wabunge wetu wanaelewa hilo, kwamba kwenye all Regional Intergrations in the World kwenye treaty zao kuna one same principle nayo ni kwamba kama one patner state is not satisfied na mwenendo wa any element in the Union, wana haki ya ku-pull back kwa muda mpaka watakapokuwa tayari na it is ok by all the treaties in the World.
- Ninasema ni muhimu sana kuwepo kwetu kwenye EAC, kwa sababu mfano wa United States wao kama sio Union walikuwa wamesshasmbaratishwa na The Great Depression na sisi tujifunze!
Thanks Mkuu!
William @Dodoma City!
Mimi bado naona ni ulimbukeni tu tena wa kitoto ujanja wa Form two, vile vile nikukumbushe kuwa si kila mji unaitwa City, Dodoma sio City dude.- Ilipokuwa @New York City; mlipiga kelele sana kwamba ni ulimbukeni, now this time sijasikia anything toka iwe @Dodoma City, au? ha! ha! ha! ha! ha!
William.
- tuliza boli bro! ha! ha! ha! ha! life is too short sometimes relax japo kidogo mkuu wangu, easy does it! ha! ha! ha! ha1 ha!
William @Dodoma City!
.......................................Sijawahi kuchangia chochote kuhusu mtu huyu, lakini baada ya kuona Ah ah ah zake nimeconclude kuwa hafai hata chembe, is'nt obvious kuwa ni opportunist ukianzia na ush.zi wake wa "Nassari Mungu ibariki Tanzania" my foot! Unajua anachosimamia Nassari?
He is very low and ambitious for all the wrong reasons.
Wakuu wote JF, heshima mbele sana you know!
- Unajua hapa JF Kumkoma Nyani ndio our home, no matter what this is our sweet home it where we started our political inspirations, it is where we were taught how to argue kwa hoja, it is where we were taught TAIFA MBELE, sasa leo we are going to lay it all at the Parliament floor, SO HELP ME GOD! AND JF PRAY FOR US TOO YOU KNOW!
- NOW MY PEOPLE JF LETS GO, IF YOU KNOW WHAT I MEAN LEO JF UWANJANI; YOU KNOW I AM A JF PRODUCT AND PROUD OF IT AND HOPE THIS JUNGLE WILL PRODUCE MORE BRIGHT LEADERS IN THE FUTURE FOR OUR NATION; LOVE YOU ALL JF!
TAIFA MBELE! NA MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA AIBARIKI JF! TUENDELEE KUKUBALI KUTOKUBALIANA KIHOJA!
William @Dodoma City!