ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
mmmmmhMkuu post4 ndo watu1257 duuu
sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
mmmmmhMkuu post4 ndo watu1257 duuu
Zann mkuunaomba addres za hapa;
1.DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION (DUCE) LECTURE
THEATRE C .
2.OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
kwann mkuuKwa watu wanaofahamu interview za utumushi kuchaguliwa tu ni jambo la furaha sana , jiandae nenda kapambane.
wanataka wasiyowahi fika dar waje kutembea na kuonaona mazingira hahaha exposure jijini. maana kama post 4 hafu wanaita zaid ya buku..haaa masihalah hayoo.Pipo mingi sana hadi raha
baada ya hawa wanaofata ni wa TRA...hapo mtawajua vizur utumishi kwenye written zao hawatakagi ujinga....unakuta mtu paper yake ya maswali yaan introduction na conclution zipo sehem moja....mwingine kaandika jina tu...
😵Mbona hamleti mrejesho wakuu?
Hapa ilibidi washindanishi wata watatu kila post......so shortlist ingekuwa 12Post 4