Kuitwa kwenye usaili TFDA

Kuitwa kwenye usaili TFDA

Kwann uite watu 1257 kwa watu nafasi nne anagalia nauli za watu 1253 zitaungua bure wangeita watu angalau bc 24 inatosha kabisa.. Hapa Ratio ni 1:314
Mkuu ni vizuri kuacha lawama ambazo mimi naziita 'Lawama zisizo na logic' ,labda nikuulize maswali machache
1. Una uhakika gani kuwa watahiniwa wote walioitwa 1257 watatumia Nauli?
2. Je unafahamu hao 1257 wamepatikana kutoka kwenye maombi ya jumla ya watu wangapi?
3. Je kama hao 1257, walipatikana na kuona kuwa wote wanavigezo vinavyofanana(incase), je ulitegemea wafanyeje kuwachuja???

Lakini pia, kuna ambao wamefurahi kuona majina yao, licha ya kuwa na wingi huo wote wa watu.
 
Kwann uite watu 1257 kwa watu nafasi nne anagalia nauli za watu 1253 zitaungua bure wangeita watu angalau bc 24 inatosha kabisa.. Hapa Ratio ni 1:314
Wabongo aliyeturoga kafa. Asa unalalamika kuitwa watu interview. Wangechagua 20 mngeanza kuhoji wametumia vigezo gani. We komaa kapambane kama una uwezo utatoboa na watu wote hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann uite watu 1257 kwa watu nafasi nne anagalia nauli za watu 1253 zitaungua bure wangeita watu angalau bc 24 inatosha kabisa.. Hapa Ratio ni 1:314
Nahisi kuna uvivu flani wakati wa kuchuja applicants sio fair kushortlist hao wote,wenzetu wazungu wako makini sana post 1 huwa wanaita watu watatu tu wakizid sana basi watu 4!
 
Unawachujaje watu wenye sifa zinazolingana kupata hao 20?

Unajua maana ya usaili wa mchujo?

Wangeita watu 20 bado mngelalamika wamependelea watoto wa wakubwa huku watoto wa wakulima mumeachwa, sasa mumepewa nafasi sawa ya kupambana bado mnalalamika, shida ni nini?

Tupunguze kulalamika ndugu zangu.
Anyway wanasaidia watu pia kupata experience za interview,lakin si kwamba kushortlist watu wengi ndo kufanya fair unless wasiwe wamepanga sifa huwez sema watu wote hao wanalingana sifa au kigezo chao basi ukiwa na Degree na kuendelea ndo sifa maana kuna jamaa nimeona wana Masters tena za miaka kama miwili ilopita nao wamo!
 
Ndio kabisa uw
Nahisi kuna uvivu flani wakati wa kuchuja applicants sio fair kushortlist hao wote,wenzetu wazungu wako makini sana post 1 huwa wanaita watu watatu tu wakizid sana basi watu 4!
kabisa ni uvivu tu basi huwez sema watu wote hao ni wengi. yan watu watano maximum kwa post moja
 
Nahisi kuna uvivu flani wakati wa kuchuja applicants sio fair kushortlist hao wote,wenzetu wazungu wako makini sana post 1 huwa wanaita watu watatu tu wakizid sana basi watu 4!

Mkuu huo ni usaili wa mchujo ndio maana wanawaita wengi hivyo kwani wana sifa zinazolingana.

Anyway wanasaidia watu pia kupata experience za interview,lakin si kwamba kushortlist watu wengi ndo kufanya fair unless wasiwe wamepanga sifa huwez sema watu wote hao wanalingana sifa au kigezo chao basi ukiwa na Degree na kuendelea ndo sifa maana kuna jamaa nimeona wana Masters tena za miaka kama miwili ilopita nao wamo!

Unashauri wafanye nini mkuu ili wawe wanafanya fair, toa ushauri wako hapa ili wawe wanaita watu wachache kwenye usaili halafu kila mtu aridhike.

Wakiweka sifa ya uzoefu mnalia, wakitoa sifa ya uzoefu tena mnalalamika tatizo nini hasa?





 
Unashauri wafanye nini mkuu ili wawe wanafanya fair, toa ushauri wako hapa ili wawe wanaita watu wachache kwenye usaili halafu kila mtu aridhike.

Wakiweka sifa ya uzoefu mnalia, wakitoa sifa ya uzoefu tena mnalalamika tatizo nini hasa?
Kaka nilichogundua wabongo competition hawawezi kabisa, ndio maana wakishaona watu wengi, Uoga wa maisha unakuja hapo ndo tatizo linakuja.

Ivi wanaelewa hao 1200+ wamekuwa shortlisted kutoka kwenye longlist ya watu wangapi????? je kama total application lets say kulikuwa na watu 3000+ je kama wamepuguza mpaka 1200+ kuna shida gani? Wote hatufahamu backend processing ilikuwaje(total application, selection criteria etc, sasa hakuna haja ya kulalama)
Acheni uoga, nendeni fanyeni usaili, muoneshe uwezo ndo kinachohitajika huko(Mi nasubiria zile marks za utumish ambazo huwa zinabandikwa ndo utajua hizi lawama ni za nini).
 
Kaka nilichogundua wabongo competition hawawezi kabisa, ndio maana wakishaona watu wengi, Uoga wa maisha unakuja hapo ndo tatizo linakuja.

Ivi wanaelewa hao 1200+ wamekuwa shortlisted kutoka watu wangapi????? je kama total application lets say kulikuwa na watu 3000+ je kama wamepugunza mpaka 1200+ kuna shida gani? Wote hatufahamu backed processing ilikuwaje(total application selection criteria etc, sasa hakuna haja ya kulalama)
Acheni uoga, nendeni fanyeni usaili, muoneshe uwezo ndo kinachohitajika huko(Mi nasubiria zile marks za utumish ambazo huwa zinabandikwa ndo utajua hizi lawama ni za nini).

Mkuu hayo yote watu hawjaui.

Wabongo wengi ni watu wa kulalamika tu.

Uzuri utumishi huwa wanaweka matokeo peupe wengi wanaolalamika kuwa wameitwa watu wengi ni wale wanaokuja pata marks za chini kabisa
.

Utumishi mtu anaondoka na 02 wakati wenzake wana 80-90.
 
Unawachujaje watu wenye sifa zinazolingana kupata hao 20?

Unajua maana ya usaili wa mchujo?

Wangeita watu 20 bado mngelalamika wamependelea watoto wa wakubwa huku watoto wa wakulima mumeachwa, sasa mumepewa nafasi sawa ya kupambana bado mnalalamika, shida ni nini?

Tupunguze kulalamika ndugu zangu.
In short wadau tupunguze lawama, Mara wanachelewa kuita, oooh wanaita watu wengi, matatizo hayaishi?, Serikali imeshaanza kumwaga ajira, ombeni na mpunguze lawama wadauuu. Wangeshortlist 20 mngelalamika tu kwani hamnajema.
 
Unawachujaje watu wenye sifa zinazolingana kupata hao 20?

Unajua maana ya usaili wa mchujo?

Wangeita watu 20 bado mngelalamika wamependelea watoto wa wakubwa huku watoto wa wakulima mumeachwa, sasa mumepewa nafasi sawa ya kupambana bado mnalalamika, shida ni nini?

Tupunguze kulalamika ndugu zangu.
Umesema vyema kabisa mkuu ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hesabu rahisi tu inatumika hapa,maafsa wanaowafanyia interview hawafanyi kama sehemu ya kazi,ni nje ya kazi za kawaida kwa hiyo kuna posho watapokea…!
Walivyoita watu wengi hivyo ina maana zoezi litachukua siku 2,3 na wao wanakula posho za siku hizo zote.
Wangeita watu 20 au 10 na zoezi lichukue saa 1 au mawili labda hata posho wasingepata kwa serikali hiii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi kuna uvivu flani wakati wa kuchuja applicants sio fair kushortlist hao wote,wenzetu wazungu wako makini sana post 1 huwa wanaita watu watatu tu wakizid sana basi watu 4!
mkiachwa mnalia, mkiitwa wote maneno, ndo maana wamesema mtihani wa mchujo, nenda kapige pepa uchujwe
 
Unawachujaje watu wenye sifa zinazolingana kupata hao 20?

Unajua maana ya usaili wa mchujo?

Wangeita watu 20 bado mngelalamika wamependelea watoto wa wakubwa huku watoto wa wakulima mumeachwa, sasa mumepewa nafasi sawa ya kupambana bado mnalalamika, shida ni nini?

Tupunguze kulalamika ndugu zangu.
hawa watu sijui wafanyiwe jema lipi ikifika oral wakiitwa wachache utasikia watt wa vigogo dah hii nchi inasikitisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama huna kazi lazima ukate tamaaa. Bora wenye vichochoro vyao ikibuma wanarudi kwenye kazi zao za zamani
 
Back
Top Bottom