Nickson Mjuni
Member
- Jul 10, 2016
- 47
- 26
Wazee kwema???? kuna aliyetumiwa ujumbe kuhusu kuitwa kwa usaili dom tanesco km yupe ajeah pm ili tusepe wote j2 ili j3 tukisanue VETA dom asubuh na mapema
Nimeku pm checkwazee kwema???? kuna aliyetumiwa ujumbe kuhusu kuitwa kwa usaili dom tanesco km yupe ajeah pm ili tusepe wote j2 ili j3 tukisanue VETA dom asubuh na mapema
Sijakuelewa wamaanisha nini ..Dom tanesco na VETA Dom...?wazee kwema???? kuna aliyetumiwa ujumbe kuhusu kuitwa kwa usaili dom tanesco km yupe ajeah pm ili tusepe wote j2 ili j3 tukisanue VETA dom asubuh na mapema
Vp mkuu hao jama interview zao ni siku ngapi? Namaanisha tunapiga written alafu tunarud nyumban kusubir kuitwa au tunaunganisha na oralWazee kwema???? kuna aliyetumiwa ujumbe kuhusu kuitwa kwa usaili dom tanesco km yupe ajeah pm ili tusepe wote j2 ili j3 tukisanue VETA dom asubuh na mapema
Kuwaelewa vijana wa kileo inahitaji moyo. Ndio maana wengi hawapati kazi....wanadhani wasaili wanakuwa wanaelewa lugha zao kumbe wanakuwa hawawaelewi mkuu.....hatarii sana hiiSijakuelewa wamaanisha nini ..Dom tanesco na VETA Dom...?
Hahaha huyo kaitwa kwenye interview ya tanesco lakini venue itakua kwenye ukumbi wa VETA.Sijakuelewa wamaanisha nini ..Dom tanesco na VETA Dom...?
sema uwezo wako wa kuelewa ndio mdogo sio vijana wa kileo, lazima ujue ni aina gani ya maneno pakuongea na kwa wakati gani tusichukuliane pouwah we sema wapi hujaelewa tukueleweshe.Kuwaelewa vijana wa kileo inahitaji moyo. Ndio maana wengi hawapati kazi....wanadhani wasaili wanakuwa wanaelewa lugha zao kumbe wanakuwa hawawaelewi mkuu.....hatarii sana hii
Umepigiwa simu? Wamekwambia itakua Written? Au Oral?Wazee kwema???? kuna aliyetumiwa ujumbe kuhusu kuitwa kwa usaili dom tanesco km yupe ajeah pm ili tusepe wote j2 ili j3 tukisanue VETA dom asubuh na mapema
Sihitaji hata kuelewa...lugha ya picha ilishanionyesha huyu mtu ni wa aina gani!!!... Asante sanasema uwezo wako wa kuelewa ndio mdogo sio vijana wa kileo, lazima ujue ni aina gani ya maneno pakuongea na kwa wakati gani tusichukuliane pouwah we sema wapi hujaelewa tukueleweshe.
Umemkata maini 😀Ajira za tanesco ni kiini macho tu, kazi tayari wamepewa vijana waliokuwa intern huko tanesco.
Basi mtakua wachache kama interview itakua vetaWazee kwema???? kuna aliyetumiwa ujumbe kuhusu kuitwa kwa usaili dom tanesco km yupe ajeah pm ili tusepe wote j2 ili j3 tukisanue VETA dom asubuh na mapema