uwiii! yaani umepata ofa ya ajira halafu kabla hujaanza kazi unatakiwa upate mafunzo ambayo mwajira wako anataka ulipie gharama ya mafunzo hayo..., huoni kuwa ni wizi na uwongo? halafu, hakuna utaratibu wa mwajiriwa kulipia gharama za training kwa kazi ya mwajiri unless kuna makubaliano mengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.