Kuitwa Kazini NSSF

Kuitwa Kazini NSSF

Mizizi

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2008
Posts
1,275
Reaction score
391
Jamani, Ndugu yangu anaulizia kama tayari wameitwa kazini wale aliofanya nao interview hivi karibuni! Kwani yupo hapa mjini tangu muda huo na hajui kinachoendelea!
 
Wameshaitwa.Walipgiwa cmu kuanzia ijumaa ilopita,jumamos had jumapili ikawa mwisho wa kuitwa.Jumatatu ya tarehe 16 mwez huu wote walioitwa wakaenda kuchukua barua zao za ajira ambazo znawataarifu kuwa tarehe 2/5/2012 wawe wamekwenda kwenye vituo vyao walivopangiwa kuanza kaz.Ila kuna taarifa kuwa michakato ya "kupenyezana" bdo ipo kwa zile fall vacancies. if una "MJI-MEMO "uloshba vizur kama tumbo la wasira then utupie upigiwe mchakato dogo apate kaz.Nawasilisha
 
Hakika tanzania imevaaa kaptula ,watu wema kwa sasa hawapo na waliopo hawana alama.Ajira zimekuwa zina udini,ukabila,na gender.nilipo ambiwa Nssf kuna udini niligoma ila kwa watu wote ambao wameitwa ninao wajua nimeshika hatamu.mungu wetu ni mwema na ridhiki popote kwa mapenzi yake mola atafanya wepesi ili kuweza kutupa kazi zilizo bora na kukidhi mahitaji aluta continua,viva Tanzania
 
Wameshaitwa.Walipgiwa cmu kuanzia ijumaa ilopita,jumamos had jumapili ikawa mwisho wa kuitwa.Jumatatu ya tarehe 16 mwez huu wote walioitwa wakaenda kuchukua barua zao za ajira
ambazo znawataarifu kuwa tarehe 2/5/2012 wawe wamekwenda kwenye vituo vyao walivopangiwa kuanza kaz.Ila kuna taarifa kuwa michakato ya "kupenyezana" bdo ipo kwa zile fall vacancies. if una "MJI-MEMO "uloshba vizur kama tumbo la wasira then utupie upigiwe mchakato dogo apate kaz.Nawasilisha

Samahani, naomba kujuzwa hizo barua watu walichukulia wapi?
 
Wameshaitwa.Walipgiwa cmu kuanzia ijumaa ilopita,jumamos had jumapili ikawa mwisho wa kuitwa.Jumatatu ya tarehe 16 mwez huu wote walioitwa wakaenda kuchukua barua zao za ajira ambazo znawataarifu kuwa tarehe 2/5/2012 wawe wamekwenda kwenye vituo vyao walivopangiwa kuanza kaz.Ila kuna taarifa kuwa michakato ya "kupenyezana" bdo ipo kwa zile fall vacancies. if una "MJI-MEMO "uloshba vizur kama tumbo la wasira then utupie upigiwe mchakato dogo apate kaz.Nawasilisha
Hi all? nimekuja kufanya mabadiliko kwenye hili. Nimebanwa sana na kazi za hapa na pale kutafuta kipato cha kuniwezesha kujikimu kwa kuwa ajira kwa vijna hapa Tz ni nipe nikupe. Wanao heri wale wenye wajomba, mashangazi, baba wakubwa na wadogo na hali kadhalika wazazi au kaka na dada, waliotangulia kwenye nafasi kubwa za ajira, hawa ndo wanachuma mema ya nchi. Siye watoto wa mkulima turudi vijijini tukasaidiane na wazazi wetu tulime. Haya ya NSSF yameumiza wengi. Huwezi kuwaita watu kwenye usaili, gharama na muda wa watu usijali angali majina ya watakaoajiriwa yapo. Inauma vijana wenzangu, tusikate tamaa, tuendelee kutoa elimu kwa jamii inayotuzunguka juu ya umuhimu wa kuchagua viongozi bora na siyo bora kiongozi, kwa hayo tutashinda.
 
MUNGU ni mwema tuendelee kumtumaini ila tuna safari ndefu sana hasa kwa niliyoyaona kwenye oral interview ya NSSF.Japo wamenitosa lakini MUNGU amefungua mlango mwingine.Ndugu msitake tamaa inawezekana kupata kazi bila hongo wala vimemo,ila unatakiwa kuwa na subira sana.
 
Hakika tanzania imevaaa kaptula ,watu wema kwa sasa hawapo na waliopo hawana alama.Ajira zimekuwa zina udini,ukabila,na gender.nilipo ambiwa Nssf kuna udini niligoma ila kwa watu wote ambao wameitwa ninao wajua nimeshika hatamu.mungu wetu ni mwema na ridhiki popote kwa mapenzi yake mola atafanya wepesi ili kuweza kutupa kazi zilizo bora na kukidhi mahitaji aluta continua,viva Tanzania

mi bado camini km udini wakat wapo waislam na wakristu wameachwa.so labda dini gan waspecify kwanza wanaosema hvyo.
 
mm mwenyewe niliitwa ile ya pili na nimemwagwa na cjui kwa nn wakati hakuna hata swali moja waliloniuliza lililonishinda,sasa cjui wametumia vgezo gani,hapa nimechoka kabisaaa,kwani mshahara wao sh ngapi kwa wanaoanza?
 
Habari za leo! Natafuta kazi. Nimemaliza chuo mwaka jana pale IFM. Nina digree ya General Admin. Tax. Popote pale nipo tayar kufanya kazi. Cm yangu. 0714430966
 
Habari za leo! Natafuta kazi. Nimemaliza chuo mwaka jana pale IFM. Nina digree ya General Admin. Tax. Popote pale nipo tayar kufanya kazi. Cm yangu. 0714430966

nimeipenda hiyo sikilizia bahati yako usiache kupita humu utapata matangazo ya kazi
 
usemalo ni sahihi coz nasema hivyo kutokana na experience ya kazi niliyonayo. rafiki zangu wote walioitwa ni wa dini moja na tunafanya kazi the samw department so najua nikisimacho kijana udini nssf upo na kila mtu anajua
 
co udini jamani, labda mseme vimemo, tuangalieni wa2 wote walioajiliwa kisha ufanye comparison na tuccngizie udini NSSF tu kisa ni moja kati mashirika machache zinazoongozwa na muislam. mi nikikutajia list ya walioajiriwa CRDB je? MKISEMA UDINI MSISEMA KUHUSU NSSF TU BALI MUINGIZIE NA SEKTA NYINGINE HUSUSANI BANK KISHA MFANYE COMPARISON.
 
Usichukulie wa2 wachache ukafanya comparison kwa wa2 wote mkuu. Mbona kuna wa2 ambao co waislam wameitwa na wana matokeo mabovu tu? Hiyo ni bahati ya m2 kijana mi mbona huku cjaitwa wkt ukiangalia vyeti vyangu vinaonesha kamanimesoma shule za kiisalam?
 
Back
Top Bottom