wadadawanne
Senior Member
- Oct 26, 2014
- 119
- 24
Jamani inasikitisha sana kuona watu wanatumiwa barua ya kuitwa kazini bila kutoa majina kwenye website yao, interview ya law secretary ilikuwa na utoaji wa maswali ambao ulifanywa na mzee mmoja aliekuwa anawapa watu maswali akijidai kuja na kuita jina la mtu anaemjua anafika anampa majibu na waliopewa wameitwa kazini, jaman Tanzania hii hali ya kujuana kwa kazi itaisha lini sie ambao hatuna tunaowajua ndo hatutakaa tufanye kazi??
Written test yenyewe jioni ya ijumaa watu walikuwa na test yote, haya kwa interview nayo watumishi wa secretariat wanatoa majibu kwa watu wanaowajua na hao watu wamepata hizo nafasi, mambo ya mlinde shemeji yako, tutafika kweliii!
Written test yenyewe jioni ya ijumaa watu walikuwa na test yote, haya kwa interview nayo watumishi wa secretariat wanatoa majibu kwa watu wanaowajua na hao watu wamepata hizo nafasi, mambo ya mlinde shemeji yako, tutafika kweliii!