Nmetoka kwenye huo mtihan...lkn nmeumia kuona wasmamizi wakisaidia baadhi ya watu majibu...hahaaa nmeamini ht interview watu hupewa majibu..anyway miafrika ndivyo tulivyo,weusi wa ngoz mpk akili
Nmetoka kwenye huo mtihan...lkn nmeumia kuona wasmamizi wakisaidia baadhi ya watu majibu...hahaaa nmeamini ht interview watu hupewa majibu..anyway miafrika ndivyo tulivyo,weusi wa ngoz mpk akili
Hawa jamaa jana walikuja home maeneo ya science walikuwa wanaulizia site kwa ajil ya kuweka mnara wao wa simu so nadhani wapo really....
ila hawajui kingereza hata zaid dereva wao ndio mkariman wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.