Me kesho 5Pm
Basically kuna mtihanu wa kufanya, una section 3, IQ, Ms Office na Technical, ila maswali ya IQ yamekaa vibaya.
Kweli kabisa ndugu,hasa ile michoro michoro na missing numbers
Na kile kilugha chao, unaweza jikuta umeclick cancel badala ya submit...hata baadhi ya wasimamizi hawaelewi