lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 417
Bt hao guys wapo real or magumashi?
Watu wanadai kwamba wapo real
Bt hao guys wapo real or magumashi?
Unajua hawa jamaa ni raia wa vietnam so wameona waweke mule lugha yao,tatizo hatujui wanataka mtu upate ngapi ili upite
Unajua hawa jamaa ni raia wa vietnam so wameona waweke mule lugha yao,tatizo hatujui wanataka mtu upate ngapi ili upite
daaa! Hiyo lugha imenifanya nimesubmit empty ktk iq test. Si muchezo wanajf
Umejisahisha mwenyewe nini?? lazima ukae
Kwa aliefanya ile interview nadhani anafahamu jinsi gani majibu yalivyokua yanapatikana,ule mtihani ulikua na sehemu tatu,kila unapomaliza kufanya sehemu moja ukisev majibu ya hiyo sehemu uliyofanya unayapata on the spot,ila bado hatujui kwamba wenyewe wanataka upate wastani wa ngapi mana ukimaliza kufanya maswali yote wanakuonyesha marks zako then unaambiwa utapigiwa simu.
mkuu mie ndo naelekea. Bt vp maswali hayo ya iq yanaeleweka? maana kila mmoja anayalalamikia
Nan anaenda kesho saa saba??