Kuitwa interview tiGO

Kuitwa interview tiGO

korino

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
1,014
Reaction score
684
Habar zenu.

Nimetumiwa msg na inanitaka nikafanye interview Tigo siku ya Jumamosi trh 1/3, Nami niko mkoani.

Vipi hawa watu sio wababaishaji mana nisije nikapoteza nauli yangu.

Ushauri pls
 
Kama ni tigo nenda tu kwenye interview, we uliomba kazi huko tigo au wamekurupuka tu kukutext ili hali hukuomba!
 
Habar zenu.

Nimetumiwa msg na inanitaka nikafanye interview Tigo siku ya Jumamosi trh 1/3, Nami niko mkoani.

Vipi hawa watu sio wababaishaji mana nisije nikapoteza nauli yangu.

Ushauri pls



Kama hujapata kazi nenda ufanye interview ila kama kazi unayo na unaona kama ni nzuri kuliko nafasi uliyoomba unaweza kuacha. The choice is yours make kazi ni maisha na maisha yenyewe ni ya kwako1
 
Kama ni tigo nenda tu kwenye interview, we uliomba kazi huko tigo au wamekurupuka tu kukutext ili hali hukuomba!
Kuna mtu mtu alipost link hapa ya kaz za tgo customer care...yani unatuma tu cv...ni mda mrefu tangia ntume
 
Kama ulituma CV na umeitwa bac sio wababaishaji.we nenda tuu kwny interview bana huwez jua.ila km unahic huitaji iyo kazi bac usipoteze muda wako.
 
Kama hujapata kazi nenda ufanye interview ila kama kazi unayo na unaona kama ni nzuri kuliko nafasi uliyoomba unaweza kuacha. The choice is yours make kazi ni maisha na maisha yenyewe ni ya kwako1
Asante nashkuru kwa ushauri
 
Kama hujapata kazi nenda ufanye interview ila kama kazi unayo na unaona kama ni nzuri kuliko nafasi uliyoomba unaweza kuacha. The choice is yours make kazi ni maisha na maisha yenyewe ni ya kwako1
Nashkuru kwa ushauri wako
 
kama uliomba kwa nini unasita kwenda? halafu wakikuajiri usiwe kama wale wengine wanababaisha sana kwenye huduma mpaka kero
 
Habar zenu.

Nimetumiwa msg na inanitaka nikafanye interview Tigo siku ya Jumamosi trh 1/3, Nami niko mkoani.

Vipi hawa watu sio wababaishaji mana nisije nikapoteza nauli yangu.

Ushauri pls

Nenda ila ukiona mara wanakuambia tuma pesa mara vile jua ni matapeli. Halafu pia fanya kazi ya ziada nenda webpage ya tigo au ofisi za mkoa ulipo upate namba ya makao makuu ili upate uhakika!!!! Utapeli mwingi siku hizi sana hasa kwa sms
 
Anavyosema ndg majoki its true kuhusu salary nina mdogo wangu pale
 
Kutumia gharama unapotafuta ni lazima. So hakuna kitu cha bure. Wewe nenda, ni ubora wa kazi ni vitu viwili tu 1. mshiko 2. Mazingira ya kazi.

Kazi ni kwako
 
Kwa hiyo kazi hata usiende nakushauri bora ingekua kazi ya maana


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
nenda tu!nje na huo mshahara unaoambiwa utapata experience na mtaji mkubwa wa kufahamiana na watu.
 
Kwa hiyo kazi hata usiende nakushauri bora ingekua kazi ya maana


In this world nothing is certain than Tax and Death.

wewe unajua yeye sasa hv anafanya kazi gani? kama hauna kazi nenda tu shosti!
 
kiushauri fanya interview as an experience ya kujieleza pamoja na kukutana na changa moto...

ila kama ni ajira ..kuwa makini mno maana .. u customer care tena wale wakusubiri simu ni kazi mno tena ngumu mno ni afadhali uendelee na ku volunteer ambapo unaeza jenga uzoefu na na kuweza kutumia muda wako kutafuta sehemu uipendayo...kuliko kazi ambayo unalimitiwa time plus uhuru plus safety and too risk and stressiful .. dealing with people's anger

kama utaeza nenda...riziq popote..na kila mbwa anasiku yake
 
Customer care ya tigo ipo chini ya wahindi kama mnavyojua wahindi tena.
 
Back
Top Bottom