Kwani hiyo hiyo tecno yenyewe ni original?
Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
tecno ni mchina. sio "orijino"
Naomba mnisaidie ndugu mamna ya kuitambua simu original TCNO P3.
tulia hujui maana ya orijino
tecno ni mchina. sio "orijino"
Fake manaake copy ya orignal .inamaana kama kuna watu wametengeneza copy ya techno bas hiyo itakua ni fake techno .hivyo techno fake zipo...
Fake manaake copy ya orignal .inamaana kama kuna watu wametengeneza copy ya techno bas hiyo itakua ni fake techno .hivyo techno fake zipo...
acha kukalili,nani alikuambia michina haina "orginal" na "fake"?
waambie hao walio zoea kukalili kwamba kila mchina ni "fake" !!!
Tecno ni feki ya simu zingine. Ni sawa tu aseme anataka galaxy s4 clone original
*#00*#
Hapo utakikuta ukitakacho
Sasa techno yenyewe tayari ni feki.. sasa cjui unaulizia original ipi hiyo..?
.
Kwann useme hivi?
.
Kwa mfano mimi nikitengeneza simu alafu nikaiita C++ smartphone ......
Itakuwa ni original
.
Ila nikitengeneza simu then nikaiita NOKIA hiyo itakuwa ni fake bwana joe
.