Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,489
- 40,507
Nini kifanyike ili tuweze kuishi miaka 100 au na zaidi?
Wengi wetu tumekuwa tukiishi miaka 30,40,50,60 n.k au pungufu ya hapo na kufa.
Je ni halali kufa mapema?Nini kifanyike sasa?
Wengi wetu tumekuwa tukiishi miaka 30,40,50,60 n.k au pungufu ya hapo na kufa.
Je ni halali kufa mapema?Nini kifanyike sasa?