Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,628
Yes..na hizo ten commandments ulivoangusha nkajua tayari hahaaHahahah you still remember,.really..!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes..na hizo ten commandments ulivoangusha nkajua tayari hahaaHahahah you still remember,.really..!!!
Weee,.nani akose asali,.haha
Weee,.nani akose asali,.haha
Wachumba wanatoka wapi tena?Hahaha
Wachumba wapo..
Wangenipima sasa😩
Si duniani jamanii,.Wachumba wanatoka wapi tena?
Hee,.sasa kama mm na uzee huu ntaachwa kweli bila kupimwa??😅hawataogopa mapadre wao kukulwa na kibibi kweli?lol
ha ha ha ha kule ni mambo ya kimungu tu hakuna kuoa wala kuolewaSi duniani jamanii,.
tehteh miaka 90,,life expectancy ya mtz ni miaka 45,kwa wajapan wameweza kufikia zaidi ya miaka 90...Ha ha ha ha ha mkuu tupambane angalau tufikie basi ata miaka 90
Basi sawa...nitaimba hallelujah asubuhi,mchana,jioni na hata usiku..😊ha ha ha ha kule ni mambo ya kimungu tu hakuna kuoa wala kuolewa
ha ha ha ha hiyo balaa sasa,tunakosea wapi?tehteh miaka 90,,life expectancy ya mtz ni miaka 45,kwa wajapan wameweza kufikia zaidi ya miaka 90...
huku ukame ukija tunaenda wote..............
Itakuwa vizuri,angalau tufike hata 70 kama ikishindikana kufika 100Basi sawa...nitaimba hallelujah asubuhi,mchana,jioni na hata usiku..😊
Inawezekana pia hii kitu ikapunguza miaka ya kuishi?First of all we have to stop papuchi hustling, we gotta die before days men.., hunt for more money to avoid being terrified by fatal death like Adyeri and his son The fortpotal bullet. .
Zero IQ, am very sorry ni katika hali ya utani mkuu nmejikuta namshika paka mkia, yaan nmegusa tengo lenyewe,,, ila nikweli tufanye kazi kwa sana kuliko kuwaza papuchi akati mfuko mkavu,,
Team mboga zero nahisi wenzangu mnanielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha haha..jitunze sana.Itakuwa vizuri,angalau tufike hata 70 kama ikishindikana kufika 100
Ha ha ha ni njia zipi za kujitunza?Ha haha..jitunze sana.
Hilo la kesho...usiku mwema.Ha ha ha ni njia zipi za kujitunza?
Nawe piaHilo la kesho...usiku mwema.