Waungwana leo nimelazimika kuwakumbusha hotuba ya Mh Dr Slaa pale Mwembeyanga siku tatu hive kabla ya uchaguzi. Alisema "kuchagua CCM ni maafa" na "CCM ni sawa na kikundi cha Taleban cha huko Afghanistan". Kauli hizo ni za kweli kiasi gani hasa kwa hali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii takribani miezi miwili tu baada ya uchaguzi. Tujadili hali halisi ya watanzania kuelekea mwisho wa mwaka kwa kuzingatia matukio ya hivi karibuni.
Naomba kuwasilisha
Waungwana leo nimelazimika kuwakumbusha hotuba ya Mh Dr Slaa pale Mwembeyanga siku tatu hive kabla ya uchaguzi. Alisema "kuchagua CCM ni maafa" na "CCM ni sawa na kikundi cha Taleban cha huko Afghanistan". Kauli hizo ni za kweli kiasi gani hasa kwa hali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii takribani miezi miwili tu baada ya uchaguzi. Tujadili hali halisi ya watanzania kuelekea mwisho wa mwaka kwa kuzingatia matukio ya hivi karibuni.
Naomba kuwasilisha
Alituambia na sasa tunajionea wenyewe.Waungwana leo nimelazimika kuwakumbusha hotuba ya Mh Dr Slaa pale Mwembeyanga siku tatu hive kabla ya uchaguzi. Alisema "kuchagua CCM ni maafa" na "CCM ni sawa na kikundi cha Taleban cha huko Afghanistan". Kauli hizo ni za kweli kiasi gani hasa kwa hali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii takribani miezi miwili tu baada ya uchaguzi. Tujadili hali halisi ya watanzania kuelekea mwisho wa mwaka kwa kuzingatia matukio ya hivi karibuni.
Naomba kuwasilisha
Nafikiri wewe una mtindio wa ubongo kila topic lazina uihusishe na udini your mind is obsessed na udini i mean addicted ni kama mtumia bange hata akinusa harufu tu analewa.Haya tena, inahusu nini Taleban na Tanzania, wakati inajulikana kuwa kikundi cha Taleban ni wanfunzi wa kiIslam waliowahenyesha warusi na sasa wamerekani na rafiki zao. Jee, kama sio udini huo ni nini? Halafu JMK alivyosema kuna udini, mnajidai kushangaa!
Nafikiri wewe una mtindio wa ubongo kila topic lazina uihusishe na udini your mind is obsessed na udini i mean addicted ni kama mtumia bange hata akinusa harufu tu analewa.
Mitanzania huwa naifananisha na mama wajawazito utawasikia wakilalamika kwenye chumba cha kujifungulia sirudii tena lakini baada ya mwaka mmoja utamwona anamimba nyingine.I wsh haya maafa yaongezeke kwa 100% ili next tym tuweze tofautisha upi mchele zipi pumba..(
But cha ajabu utashangaa watu wanakubali tena flanaz na kangaz na kusahau haya yote.., Aliyeroga fikra za Watz amakweli atakuwa amekufa maana hizi sio akili za kawaida kabsaaa
Nakwambia wewe uko addicted na udini kwani Slaa ndiye kaanzisha thread hii hadi ujilinganishe naye au mleta thread kutaja Taleban ndio huo udini unaousemea kijana punguza huo mnkari wa dini utakupelekea kujilipua.Soma habari za post ilioanzisha thread halafu useme nani ni mdini, mimi au slaa?
Kwa hiyo ndiyo unataka kusema nini umeme wa mgawo ni neema ya CCM au kazi yako ni kupinga chochote kilicho mbele yako alimradi kuitetea CCM.Watanzania wanajua kuchagua. Hawadanganyiki.
Walijua na mapema kuwa: Kuchagua Upinzani ni Maafa.
Wewe ndio hopeless kabisa unaridhika na kukaa gizani baada ya miaka 50 utakuwa mchawi si bure.Slaa anapenda maafa yatokee lakini hayatatokea atakufa yeye..akome!
wananchi wamechagua akae kimya for next five years aje tena tutamsikiliza, tutafanya uamuzi period!
Asilazimishe madhara, maisha yetu tangu nyerere ni hivi hivi tofauti kidogo..
Wewe ndio hopeless kabisa unaridhika na kukaa gizani baada ya miaka 50 utakuwa mchawi si bure.
'If there is no bread give them cake' matamshi ya Malkia wa Uingereza, nafikiri ndugu yangu hujui matatizo ya wananchi aidha huishi nchini mwananchi hata ile hela ya kununulia kibaba cha mafuta ya taa anakosa unamwambia anunue solar duh!!!!!!!Heri hayo kuliko maafa...ya nini ndugu...we cheza tu na vita.
Mwenzako ana hifadhi za kudumu kule Rome...
Maafa wala sitaki..wacha nihangaikage hivi hivi...
Use solar energy if giza persist..
Slaa anapenda maafa yatokee lakini hayatatokea atakufa yeye..akome!
wananchi wamechagua akae kimya for next five years aje tena tutamsikiliza, tutafanya uamuzi period!
Asilazimishe madhara, maisha yetu tangu nyerere ni hivi hivi tofauti kidogo..