kweli wewe ni the HunterPole bana huyo jamaa muhuni tuu, alitaka kuichezea tuu pembejeo yako, vipi hakuisifia na kuomba namba yako?
Nilichosema si kwamba nurse ni zaidi ya Doctor, lakini nijuavyo ukiacha kuchoma sindano katika cases nyingine inafaa awepo nurse katika maeneo ya aina hiyo ili kusaidia pia kufanya mazingira ya wenye tamaa yashindwe, kuwatetea hata katika mambo ambayo siyo ethical ni kutetea uovu, fikiria ndugu zetu wangapi wameshafanyiwa hivyo!
Ulichokuwa ukikitaka kakifanya sasa tatizo liko wapi..
1..Utaratibu huo uko shaka hamna na alitakiwa aingize dole kubwa ndio linatoa uchafu na kuingiza uchafu mbadala
2..Napita nitarudi baadae
BY MIMI DR MGOMO
Leo nlienda dispensary, nikiwa nahisi maumivu makali kwenye kipofu, nlihisi ni UTI (sijui kitaalam), baada ya kumweleza doctor tatizo langu aliniambia nivue nguo zote kisha nipande kitandani. Kilichonikera zaidi ni kwamba alivaa gloves, na kuniingizia vidole kwenye uke, kimsingi alikuwa ananiumiza, nlipo mweleza akaniambia hayo ni mambo ya kawaida huku, kisha akasema alikuwa anachek kama kuna uchafu. Naamini kuna madaktari Jf, naomba msaada ili nifaham,
1)Je ni utaratibu unaokubalika kutumia vidole kumpima mtu anyehisi maumivu ya kibofu?
2) Ni uchafu wa aina gan angeweza kuubaini kwa vidole vyake?
Naomba ushauri wa Dr.
Hii ni kweli kabisa, wanawake wengi hawapendi kutibiwa na wanawake wenzao kwa sababu huona kama wata washangaa, na kuwaona kama sio wasafi! Madaktari wa kiume hu care na huwa na polite language.Jamani Kwani Madaktari wa kike hakuna? Na Wanawake Wengi wanapenda sana kutibiwa na Madaktari wa kiume haswa ktk magonjwa hayo yanayohitaji uchunguzi.
Madaktari bwana......:shock::shock:Wakati mwingine kuna masister do wanakuja wanaringa na dharau au warembo watu kama hawa wakija akikaa vibaya nampiga finger.
kwani unasoma wapi?? Sekondari au chuo??mada nzuri sana hii,
hivi ili niwe kama huyo daktari natakiwa nisomee nini? na wapi?