Kuimport gari kutoka Uganda

Samcezar

JF-Expert Member
May 18, 2014
13,096
22,627
Habarini wakulungwa.

Naomba kujuzwa. Mfano nataka kuchukua gari ambayo m'miliki wake ni mtu wa Uganda na gari ina usajiri wa Uganda.

Je, utaratibu umekaaje kama nikitaka kulichukua na kulileta huku Tanzania na kuja kulisajiri niendelee na matumizi kama kawaida?!

Ni gari ya kutembelea tu ya kawaida SUV Rav 4.....
 
Kuingiza gari toka nje ya nchi (Tanzania) lazima ulipie kodi bila kujali ni nchi gani, kodi ya magari inategemea sana na aina ya gari na mwaka wa gari, na sio nchi inakotoka........

Wewe kama unataka kununua na umeipenda nunua tu ila kodi ya kutoka uganda na kutoka japan ni sawa kabisaa(hapo utaamua wewe)

Hata ukinunua bei ya chini kabisa haitakusaidia sababu valuation zipo na kama ikitokea umenunua kwa bei ndogo hapa itaongezwa mpaka kufikia bei ya valuation ya gari husika (lakini ukinunua bei ya juu zaidi hawatatpunguza)

Jua kwanza bei ya ushuruhaoa na cost nyngne kabla hujanunua huko usije ukaiacha pale mtukula :p :p
 
kuingiza gari toka nje ya nchi (tanzania) lazima ulipie kodi bila kujali ni nchi gani, kodi ya magari inategemea sana na aina ya gari na mwaka wa gari, na sio nchi inakotoka........

wewe kama unataka kununua na umeipenda nunua tu ila kodi ya kutoka uganda na kutoka japan ni sawa kabisaa(hapo utaamua wewe)

hata ukinunua bei ya chini kabisa haitakusaidia sababu valuation zipo na kama ikitokea umenunua kwa bei ndogo hapa itaongezwa mpaka kufikia bei ya valuation ya gari husika (lakini ukinunua bei ya juu zaidi hawatatpunguza)

jua kwanza bei ya ushuruhaoa na cost nyngne kabla hujanunua huko usije ukaiacha pale mtukula :p
Ongezea hii hata Kama akipewa Hilo gari bureeee lazima atalipia kila kitu Kama limetoka Pale YOKOHAMA JAPAN
 
Dah.... Aisee nimeishiwa nguvu kabisa. Nikajua labda pengine kama ikiwa ni hapa. Ndani ya afrika basi kutakuwa na consideration ya location gari ilipotokea.

Dah sasa hapa sijui nafanyaje na jamaa nilishampanga hadi bei but nimemwambia angojee nizungumze na watu wa mamlaka ya mapato niweze kufahamu juu ya swala la kodi na tozo zingine.

Sasa kwa minajiri hii inamaana hii biashara haitawezekana ukizingatia gari limetokea japan. Kulinunua anaweza nipunguzia zaidi ila bei ya hapo Uganda inamaana ndiyo itafanyiwa evaluation na itakuwa ni kubwa kuliko evaluation ya japan sababu now nitakuwa kuna bei halisi plus Kodi ya uingizaji ya Uganda, then kuna cha juu cha faida ambacho mtu anaweka kwenye biashara. Sasa yote hiyo ikifanyiwa evaluation nilipie kodi itakuwa ndio nimefanya nini hapo.
 
Wakuu vipi kama huyo mwamba wa Uganda akimpa ndinga huyo mbongo bure? bado watataka kodi wakati biashara haijafanyika?
 
Hawa machoko wa TRA ukipewa bure gari wanaweza kuichaji kodi ile kodi ya gari yenyewe ili mradi tu ulipe kodi kwa style hii....

Tumia lugha nzuri kuepuka matatizo yasiyo ya lazimaa!!

Gari hata ukipewa zawadi popote pale nje ya tanzania ni sawa lakini ikiingia tanzania lazima ilipiwe kodi zote stahiki.
 
Dah.... Aisee nimeishiwa nguvu kabisa. Nikajua labda pengine kama ikiwa ni hapa. Ndani ya afrika basi kutakuwa na consideration ya location gari ilipotokea.

Dah sasa hapa sijui nafanyaje na jamaa nilishampanga hadi bei but nimemwambia angojee nizungumze na watu wa mamlaka ya mapato niweze kufahamu juu ya swala la kodi na tozo zingine.

Sasa kwa minajiri hii inamaana hii biashara haitawezekana ukizingatia gari limetokea japan. Kulinunua anaweza nipunguzia zaidi ila bei ya hapo Uganda inamaana ndiyo itafanyiwa evaluation na itakuwa ni kubwa kuliko evaluation ya japan sababu now nitakuwa kuna bei halisi plus Kodi ya uingizaji ya Uganda, then kuna cha juu cha faida ambacho mtu anaweka kwenye biashara. Sasa yote hiyo ikifanyiwa evaluation nilipie kodi itakuwa ndio nimefanya nini hapo.

Kodi ya Uganda na Tanzania ni tofauti, cha kufanya ni kupiga hesabu then ulinganishe from uganda ama Japani, lakini cost za hapa zote ni sawaa
 
Kodi ya Uganda na Tanzania ni tofauti, cha kufanya ni kupiga hesabu then ulinganishe from uganda ama Japani, lakini cost za hapa zote ni sawaa
Hela ya Uganda kwa Tanzania ni ndogo sana. So its cheap kununua gari ya Uganda kwa mtanzania. But swala lilipo ni maswala ya kodi.

Wataikadiriaje kwa gari ambayo imenunuliwa kutokea Uganda, yaani ni gari ambayo imesajiriwa na kufanyiwa kila kitu huko Uganda.
 
Tumia lugha nzuri kuepuka matatizo yasiyo ya lazimaa!!

Gari hata ukipewa zawadi popote pale nje ya tanzania ni sawa lakini ikiingia tanzania lazima ilipiwe kodi zote stahiki.
Sawa mkuu, samahani sana...... Ni hasira na jazba
 
Kwa uelewa wangu kinachotofautisha uingizaji gari kutoka japan na uganda ni Gharama ya usafirishaji tu

Ila kodi zipo palepale.
 
Kuingiza gari toka nje ya nchi (Tanzania) lazima ulipie kodi bila kujali ni nchi gani, kodi ya magari inategemea sana na aina ya gari na mwaka wa gari, na sio nchi inakotoka........

Wewe kama unataka kununua na umeipenda nunua tu ila kodi ya kutoka uganda na kutoka japan ni sawa kabisaa(hapo utaamua wewe)

Hata ukinunua bei ya chini kabisa haitakusaidia sababu valuation zipo na kama ikitokea umenunua kwa bei ndogo hapa itaongezwa mpaka kufikia bei ya valuation ya gari husika (lakini ukinunua bei ya juu zaidi hawatatpunguza)

Jua kwanza bei ya ushuruhaoa na cost nyngne kabla hujanunua huko usije ukaiacha pale mtukula :p :p
Serikali ya wanyonge chini ya jemedari jiwe
 
Back
Top Bottom