Kuijumuisha Al Hilal ya Sudan kwenye ratiba ya ligi ya NBC ni jambo la kupongeza

Tumesikia mipango ipo mbioni kuijumuisha timu ya Al Hilal ya Sudan katika ratiba ya NBC kuanzia msimu ujao. Kuna wakati niliwahi kuwaza hili jambo nilipoona wakati ule wanatanga tanga, nikataka kushauri hili kufanyika na nimefurahi kujua kumbe pale TFF kuna watu wana uwezo wa kufikiria mambo yenye tija kwa ligi yetu.

Nakumbuka mwezi January nilishangaa kwa nini hawakujumuishwa katika mashindano yaliyopita ya Kombe la Mapinduzi wakati walikuwepo hapa hapa.



Pamoja na kwamba maelezo ya kina hayajatangazwa isipokuwa tumeambiwa matokeo ya mechi zao hayatajumuishwa katika msimamo wa ligi, ningeshauri pia ikiwezekana katika makubaliano yatakayofikiwa na Al Hilal, wachaguliwe vijana kadhaa, hata kama ni 3 walio katika vikosi vya taifa vya U-17 au U-20 na wawe tayari kuwaingiza katika kikosi chao kama sehemu ya vijana hao kupata mafunzo na uzoefu.

Big up sana kwa TFF kwa hili jambo. Kwenye hili mmeupiga mwingi.

Cha nyongeza, hivi hiyo vita ya Sudan mbona kama ipo kimya kimya sana maana sisikii kabisa kashkash zake?
Simba kwa ujinga ni pipa na mfuniko. Hivi unaikumuisha vipi timu ya nchi nyingine kwenye ligi yako?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha hapo mwisho..kashikashi wanazo wenyewe..hakuna media za magharibi za kupromot kashikash zao ndo maana hazisikiki..kama za ukanda wa gaza na Israele..
By the way hii kitu ina afya kweli? Any way ngoja tuone..muda si mrf vitazaliwa vitoto vya kisudani huko daslam...
Mkuu Dar kwa Sasa wanazaliwa watoto wote wazungu wanigeria waarabu wa S.A n.k hakuna namna miaka 50 ijayo kitakuwa kizazi mchanganyiko sna
Kurudi kwenye mada nadhani itakuwa afya kibiashara Wasudani wameendesha soka lao kwa mafanikio kwa mda mrefu sna kupitia vita hii tunaweza kuvuna raslimali watu kutoka kwao as sioni wao kuwa tishio kwetu maana hatuchangii mpaka eg kwenye medical naona tumevuna kidogo
 
Mm ni msikilizaji sana wa bbc...Dw..sijasikia kwa muda kidogo hivi kuhusu vita ya sudan..labda kama kuna muda namiss hivyo vitu labda kwny TV...

Kumbee..wanapigania nini hao nao maskini wa kutupwa...
Sudan Kaskazini waarabu wa kuchovya wanatwangana.
Sudan Kusini nako kwa weusi wamatumbi wenzetu wanatwangana; ukabila na ujinga wa kiafrika sababu kuu.
 
Mm ni msikilizaji sana wa bbc...Dw..sijasikia kwa muda kidogo hivi kuhusu vita ya sudan..labda kama kuna muda namiss hivyo vitu labda kwny TV...

Kumbee..wanapigania nini hao nao maskini wa kutupwa...
Kama hapa Tanzania waislamu hawaelewani wenyewe (Bakwata) hapo Sudan walivyo wengi lazima wakinukishe. Kibaya zaidi mwaarbu yupo
 
Sudan Kaskazini waarabu wa kuchovya wanatwangana.
Sudan Kusini nako kwa weusi wamatumbi wenzetu wanatwangana; ukabila na ujinga wa kiafrika sababu kuu.
Kaskazini sasa hivi madaraka ndio chanzo.
Kusini ukabila na udini bado haujaisha,maana hata kujitenga sababu ilikua ukabila na udini sasa licha ya kujitenga ukabila na udini bado haujaisha.
 
Mkuu Dar kwa Sasa wanazaliwa watoto wote wazungu wanigeria waarabu wa S.A n.k hakuna namna miaka 50 ijayo kitakuwa kizazi mchanganyiko sna
Kurudi kwenye mada nadhani itakuwa afya kibiashara Wasudani wameendesha soka lao kwa mafanikio kwa mda mrefu sna kupitia vita hii tunaweza kuvuna raslimali watu kutoka kwao as sioni wao kuwa tishio kwetu maana hatuchangii mpaka eg kwenye medical naona tumevuna kidogo
Kweli mkuu baadae kutakua na race ya tofauti.....
Kuhusu ulichokieleza hasa hizo faida...ni kweli in that perception....
 
Back
Top Bottom