Kuhusu vyuo 2015/2016

Kuhusu vyuo 2015/2016

nelie bly

Member
Joined
Oct 1, 2015
Posts
7
Reaction score
0
Jamani posts za second round zkitoka please tujurishane coz vtu vnazd kuwa vgumu...
 
Chek profile yako now alafu tuambie changes gan unaona ukiview selection za viu ulivyochagua
 
Chek profile yako now alafu tuambie changes gan unaona ukiview selection za viu ulivyochagua

Nimeangalia profile mdogo wangu nimeona kupungua kwa remaining capacity ya baadhi ya faculty.

Zaidi ya hilo hakuna jipya
 
Nimeangalia profile mdogo wangu nimeona kupungua kwa remaining capacity ya baadhi ya faculty.

Zaidi ya hilo hakuna jipya

Kuna makamanda hapa wawili priority zao za baadhi ya vyuo zimepungua mpaka -1 na -3 hao wengine zmeenda zkakwania 0

Ya huyo kijana zmepungua mpaka ngapi, na pia kama kuna yenye single digit kuanzia 1-9
 
Kuna makamanda hapa wawili priority zao za baadhi ya vyuo zimepungua mpaka -1 na -3 hao wengine zmeenda zkakwania 0

Ya huyo kijana zmepungua mpaka ngapi, na pia kama kuna yenye single digit kuanzia 1-9

Kuna mbili zimeshuka hadi 0....ila zingine zimepungua kiasi
 
Zina Maana Gani Hizo AlAMA.. zingine remaining Capacity 0, Nyingine -2, Nyingine -6, Yaani Nashindwa kuelewaa wakuu.. ndo nimekosa chuo au?
Naomba Msaada Mtu Wa Kunielezea Nahisi Kuchanganyikiwa
 
Kuna makamanda hapa wawili priority zao za baadhi ya vyuo zimepungua mpaka -1 na -3 hao wengine zmeenda zkakwania 0

Ya huyo kijana zmepungua mpaka ngapi, na pia kama kuna yenye single digit kuanzia 1-9
Izo Alamaa Zinakuwa Na Maana Gani Mkuu.. Au Ndo Dalili Za Kukosa Chuo.. Tusaidiane Kudadavua Hizo Alama Jamani.. Mimi Sizielewi
 
guys embu jaribuni kulog in then view your selection..........nini kipya unakiona this time...
 
This's to say....
Mambo yameiva,letc wait mayb kesho watarelease...
 
Mwenye kukijua vizuri chuo cha mifugo mabuki kilichoko mwanza naomba msaada wa maelekezo. Nicheck kwa no. 0765 82 92 56.
Ukinicheck sasa hivi utakuwa umenisaidia please
 
dah, mi bado inanambia kua bado shughuli iko kwenye process? kwan nyie profile zenu znasemaje wadau?
 
Back
Top Bottom