Kuhusu vyuo 2015/2016

Kuhusu vyuo 2015/2016

wadau mm n wa 2round,, lakn mda huu naingia kwenye profile yangu nmeletewa ujumbe ambao unajulisha nmepata 1round alafu unasema CAS now is open for 2round,,,, alafu nlkuwa wa 2rond km nlvyotel hapo juu cjawaelewa nsaidien wadau
 
mimi bnafs nimeandikiwa "you are provissional selected into one programe of your choice" kwa upeo wangu mdgo ni kwamba nimeshapita 2nd round ,sasa ukikuta umewekewa hyo negative au 0 ujue ktk hzo programe ulizochagua still hujawa na vigezo ,kwa kifupi umetemwa ,kwahyo wewe 3rd round inakuhusu.
 
Aisee me Nina ndugu kachagua vyuo vinne vitatu priority ni 0 na kimoja priority ni 10. Hapa nneshindwa kuelewa msaada please
 
Aisee me Nina ndugu kachagua vyuo vinne vitatu priority ni 0 na kimoja priority ni 10. Hapa nneshindwa kuelewa msaada please
asijali TCU bdo wanafanya selection ,huenda atachaguliwa ,kuweni na subira maana bdo wanafanya updation mda c mrf mambo yatakuwa tayar.
 
Hongera mm profile hata haijabadilika wala kunitumia email kama wame attend my application ..basi nipo nasubiri pasipo na iman..
 
Hongera mm profile hata haijabadilika wala kunitumia email kama wame attend my application ..basi nipo nasubiri pasipo na iman..

Achana na profile anagalia majina yanayotoka chuo husika
 
Achana na profile anagalia majina yanayotoka chuo husika

Course yangu first priority wamebaki 2 na capacity 10 ila huku kwenye majina sjaona jina langu UDSM na NIT sasa sjui UDOM..ARDHI NA MZUMBE
 
Course yangu first priority wamebaki 2 na capacity 10 ila huku kwenye majina sjaona jina langu UDSM na NIT sasa sjui UDOM..ARDHI NA MZUMBE

Labda utakuwa huko ndo umepat
 
Back
Top Bottom