Kuhusu vyuo 2015/2016

Kuhusu vyuo 2015/2016

mimi bnafs nimeandikiwa "you are provissional selected into one programe of your choice" kwa upeo wangu mdgo ni kwamba nimeshapita 2nd round ,sasa ukikuta umewekewa hyo negative au 0 ujue ktk hzo programe ulizochagua still hujawa na vigezo ,kwa kifupi umetemwa ,kwahyo wewe 3rd round inakuhusu.

Hao wenye negative wasubr kdgo ztabadilika
Kuna jamaa ang hapa profl yake ilikua na hzo negative, lakn Saiv kashaambiwa ame chaguliwa
 
Nimefanya ka utafiti kdgo
Nmegundua kuwa weng waliochaguliwa hii 2nd round Walijaza education
 
Ni kweki waliojaza education ndio ambao wameshapata, vyuo ila wale wa coz za afya bado
 
Back
Top Bottom