johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,034
Jombaa mada umeisoma ama unarukia tu kwa mbelewakaanzie hai na arusha mjini pia viongozi wao wawembele sio kutangiliza watoto wa maskini huku viongozi wako bar wankinywa konyagi
Wale nilisikia wanafanya mikutano ya ndani!Tukuulize wewe Johnthebaptist kuwa akina Dr Bashiru na Polepole wanaofanya mikitano nchi nzima, je wao wameruhusiwa??
Je wao ni wabunge wa Chama gani??
Kama wao wameruhusiwa, ni kwanini wazuiwe kufanya mikutano hiyo viongozi wa Chadema pekee??
Kama mbwali na iwe mbwali!
mikutano haijawahi kukatazwa mkuu... katazo lolote linatolewa kwa mujibu wa sheria huyo kichaa alitamka kwa kuwa hakuwa amemeza zile dawa mbona polepole na yule bashiru hujawahi uliza utaratibuKumbukumbu zangu zinanijulisha kuna katazo la kufanyika kwa mikutano holela ya kisiasa isipokuwa ile tu inayohusisha wabunge katika majimbo yao ya uchaguzi.
Sasa Chadema ambayo haina wabunge nchi nzima imetangaza kufanya mikutano nchini kote, wadau hii imekaaje?
Maendeleo hayana vyama!
Polepole na Bashiru walitangaza lini?mikutano haijawahi kukatazwa mkuu... katazo lolote linatolewa kwa mujibu wa sheria huyo kichaa alitamka kwa kuwa hakuwa amemeza zile dawa mbona polepole na yule bashiru hujawahi uliza utaratibu
kule arusha yule babu polepole kaenda kwa waganga?Polepole na Bashiru walitangaza lini?
Ile ni mikutano ya ndani !kule arusha yule babu polepole kaenda kwa waganga?
kule karatu je alifanya ya ndani? hata hiyo ya ndani pia viongozi wa upinzani wanakamatwa rejea iringa na hai.... ukiwa mbea uwe na kumbukumbuIle ni mikutano ya ndani !
Chakubanga na Bashiru ni wabunge wa wapi??Kumbukumbu zangu zinanijulisha kuna katazo la kufanyika kwa mikutano holela ya kisiasa isipokuwa ile tu inayohusisha wabunge katika majimbo yao ya uchaguzi.
Sasa Chadema ambayo haina wabunge nchi nzima imetangaza kufanya mikutano nchini kote, wadau hii imekaaje?
Maendeleo hayana vyama!
wakaanzie hai na arusha mjini pia viongozi wao wawembele sio kutangiliza watoto wa maskini huku viongozi wako bar wankinywa konyagi
Katazo ni batili kwahiyo wana uhalali wa kuli-defyKumbukumbu zangu zinanijulisha kuna katazo la kufanyika kwa mikutano holela ya kisiasa isipokuwa ile tu inayohusisha wabunge katika majimbo yao ya uchaguzi.
Sasa Chadema ambayo haina wabunge nchi nzima imetangaza kufanya mikutano nchini kote, wadau hii imekaaje?
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Bashiru na Polepole ni wabunge wa majimbo yapi?Kumbukumbu zangu zinanijulisha kuna katazo la kufanyika kwa mikutano holela ya kisiasa isipokuwa ile tu inayohusisha wabunge katika majimbo yao ya uchaguzi.
Sasa Chadema ambayo haina wabunge nchi nzima imetangaza kufanya mikutano nchini kote, wadau hii imekaaje?
Maendeleo hayana vyama!
mikutano iko kikatiba,chadema wasihofu kitu,Mahakama ya ICC ipoKumbukumbu zangu zinanijulisha kuna katazo la kufanyika kwa mikutano holela ya kisiasa isipokuwa ile tu inayohusisha wabunge katika majimbo yao ya uchaguzi.
Sasa Chadema ambayo haina wabunge nchi nzima imetangaza kufanya mikutano nchini kote, wadau hii imekaaje?
Maendeleo hayana vyama!