Mfukunyuzi
Senior Member
- May 30, 2012
- 125
- 9
eti wadau hivi endapo itatokea mmelingana pointi wa2 wengi katika faculty moja kita2mika kigezo gani ili kuwachagua au matokeo ya o level yataangaliwa mwenye wazo pevu ebu funguka basi
dah cjakusoma mwana ndo ikoje iyo formula ebu dadavua kimtindo