alsaidy
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 334
- 90
Wadau naomba kuwakilisha kama ifuatavyo:
Nilikuwa natafuta simu aina ya samsung double line, nilipofika dukani muuzaji akaanza kunisifia kuhusu toleo jipya la TECNO HD na akanipa modeli HD 51 kwa kweli i was so impressed na performance yake kila kitu basic kipo na camera yake ni 1.3 mega pixel lakini quality ya picha yake it's amaizing very clear.
Simu inakuja na battrey 2,earphone,charger pamoja na cover yake original. Baada ya kuanza kuzifuatilia kwa umakini nikakuta watu wengi wanatumia hii brand ya TECNO katika simu za kichina kushinda brand yoyote ile. Nchi ya jiran kenya hususan Mombasa zimeteka soko kubwa la watumiaji wa simu.
Ukiacha mambo mengine ina kamata internet bila ya matatizo yoyote na ina java ambayo unapata software nyingi za ku down load kwenye neti.
Wenye experience zaidi watujuze kuhusu hizi simu na upatikanaji wake kwa wingi hasa hizi HD series
Nilikuwa natafuta simu aina ya samsung double line, nilipofika dukani muuzaji akaanza kunisifia kuhusu toleo jipya la TECNO HD na akanipa modeli HD 51 kwa kweli i was so impressed na performance yake kila kitu basic kipo na camera yake ni 1.3 mega pixel lakini quality ya picha yake it's amaizing very clear.
Simu inakuja na battrey 2,earphone,charger pamoja na cover yake original. Baada ya kuanza kuzifuatilia kwa umakini nikakuta watu wengi wanatumia hii brand ya TECNO katika simu za kichina kushinda brand yoyote ile. Nchi ya jiran kenya hususan Mombasa zimeteka soko kubwa la watumiaji wa simu.
Ukiacha mambo mengine ina kamata internet bila ya matatizo yoyote na ina java ambayo unapata software nyingi za ku down load kwenye neti.
Wenye experience zaidi watujuze kuhusu hizi simu na upatikanaji wake kwa wingi hasa hizi HD series