Kuhusu shambulio la Fr. Kitima

Kuhusu shambulio la Fr. Kitima

Okay, isipokuwa tambua tu kwamba
CCM imepoteza kabisa mvuto!
CCM imepoteza kabisa ushawishi!
Njia pekee kwa CCM kuendelea kuwa hai na kuendelea kushika madaraka katika Utawala wa nchi hii ni kwa kupitia kwenye kufanya Siasa za Propaganda za Vitisho Kama hizi za kuteka watu, kuua Watu, kuwashambulia na kuwapoteza wale Watu wenye ushawishi wanaokipinga Chama hicho. Nje ya Kuendesha Propaganda za Vitisho, kamwe CCM haiwezi kubaki salama na Wala haiwezi kuendelea kuwa hai, LAZIMA itakufa!

Utawala wowote ule uliofitinika na ambao upo mwishoni unakaribia kuanguka na kufa, huwa ni kawaida kabisa kutokea matukio mabaya Kama haya. Watawala huwa wanakuwa wameshikwa na kiwewe, wanaingiwa na hofu kubwa, kila Mtu mwenye Fikra mbadala na anayewakosoa au kuwapinga wanamchukulia kuwa ni Mhaini anayetaka kuwapindua.
Hali Kama hii pia iliwahi kumkumba aliyekuwa Rais wa Zaire (DRC) wakati huo akiwa madarakani, Hali ambayo ilimfanya amteke hata Mkuu wake wa Majeshi General Mahele na kisha kumuua kikatili Sana Kama nguruwe pori, Mobutu alimshuku Jenerali huyo wa Jeshi kwamba alikuwa anamsaliti na kuwaunga mkono Wapinzani wake wa kisiasa.
Kwa Hali halisi ya kisiasa na HAKI za binadamu iliyopo hivi Sasa hapa Tanzania, tutarajie kushuhudia kwa wingi sana Watu wengi sana wakikumbana na matukio mabaya kama haya ya kushambuliwa, kutekwa, kupotezwa na hata kuuawa kikatili.
Utawala umefitinika
 
Kitima ndo kanisa?mpumbavu toeni Udini wenu, Kibao hakua na dini? Waisalamu walidai kwamba uislamu ndo umevamiwa,
Tuambie Kibao alikuwa na wadhifa gani huko uislamuni.
 
Yeah Tena hapa haitakuwa ukatoliki bali ukristo ni mbaya sn hii
Sijui waliwaza nn kabla ya kufanya haya!

Mi sio rc ila kati ya wakristo ambao hawayumbishwi Wala huwakuti tuition 🤣Kwa manabii huko ni RC
Yaani nasema mfano mapadre walihimiza waumini wao kufunga barabarani zote Tanzania nzima serikali itaweza kuwaondoa?

Serikali ikubali ifanye hayo mabadiliko na ikae na vyama vyote wakubaliane tume ya uchaguzi itapatikana vipi mambo yaishe.
 
Back
Top Bottom