jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Inaonekana kuna umuhimu wa kuwakumbusha wabunge hasa watoakanao na Chama cha Mapinduzi kusoma na kitembea na vitabu vya Ilani ya CCM iwapo hawaitaki wajiuzulu mapema maana wanyonge wa nchi hii wanawasubiri kwa hamu sana mshindwe kuisimamia ilani ya CCM ili wawanyoe kwa chupa.
KWA HISANI YA WANACCM