Kuhusu nani anastahili kiatu mskie Othman Kazi, refa wa Mstaafu wa FIFA

Halafu nimekuja kugundua Mayele wamemuhesabia assist kwenye goli la Bangala mechi ya jana na Prisons, ile technically siyo assist, kwa hiyo technically ana assist 3, daah 🤣😂🤣
 
Simba ni genge la wahuni kama ilivyo kwa TFF.

Mchezaji mmoja anafunga magoli 7 kwenye mechi 2 mfululizo za mwisho!

Hapa kuna upangaji wa matokeo, wahusika fanyeni kazi zenu
 
Mayele apewe uchezaji bora kwenye magoli ndio hivyo asubiri next season
 
Hivi case kama hii ndiyo ya kwanza kwenye ligi yetu? Iliamriwaje?

Zingekuwepo kanuni ambazo zipo wazi hii isingekuwa topic wala.

Kuanza kuchambua aina ya magoli ni ujuha tu,wangeligana na idadi ya penati?

Siyo rahisi kulingana dakika walizocheza.

Kama kanuni hakuna basi zitungwe kwa ajili ya misimu ijayo na ziangaliwe Assists na Muda.

Kwa sasa watajua cha kufanya.
 
Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Unabishana na sheria?Wewe ni wa kuzabuliwa makofi.
 
Mayele ana advantage dhidi ya Saido, kwanini? Mayele kaiwezesha timu yake kuchukua ubingwa, ila Saido hakufanya hivyo, so Mayele ndio anastahili kupewa Golden Boot.

Saido mechi moja ameshinda magoli 5 ya kimchongo, huyo hastahili golden boot
nacheka km mazuriiii, woiiiiiiih
 
Endeleeni tu kubishana. Sisi wengine kwa sasa tunasubiria tu kuangalia mchezo wa fainali hiyo kesho, na hivyo msimu wa ligi kutamatika rasmi.
 
Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wamezoea kumdhulumu mayele.....mwaka jana hivyohivyo....
 
Hiyo ndiyo kanuni inayotakiwa kutumika. Kama magoli ya penati yanatumika kutafuta bingwa na hayaondolewi ikitokea timu zimelingana pointi, na badala yake wanaangalia sifa nyingine za timu husika, iweje uyatoe kwenye mfungaji bora badala ya kuangalia sifa zingine za hao wafungaji?

Yaani umpe tuzo bora mchezaji ambaye anajirekodi analalamika kwa nini mchezaji mwenzake kamnyima nafasi ya kufunga ili apate tuzo wakati yeye mwenyewe msimu mzimu ana assist 3?
MBUMBUMBU hawataki mayele achukue kiatu.
 
Mayele ana advantage dhidi ya Saido, kwanini? Mayele kaiwezesha timu yake kuchukua ubingwa, ila Saido hakufanya hivyo, so Mayele ndio anastahili kupewa Golden Boot.

Saido mechi moja ameshinda magoli 5 ya kimchongo, huyo hastahili golden boot
Sasa kama magoli ya Saido ni ya mchongo, kwa nini TFF haichunguzi upangaji matokeo?
 
Ukishasoma jijibu tu mwenyewe nani apewe golden boot.

====

EPUKENI U BUSH LAWYER
Msimu wa Ligi Kuu 2022-23 umekamilika rasmi Leo kwa Wananchi Young Africans kutawazwa kuwa Mabingwa. Hongera sana Eng. Hersi, Rais wa Young Africans pamoja na GSM Kwa jitihada ya kuijenga team imara.

Sasa Niwape elimu ndogo tu kuhusu UFUNGAJI BORA NA KANUNI YAKE. Ifuatayo ni Kanuni ya Kombe la Dunia kuhusu UFUNGAJI BORA.

The Golden Boot is primarily decided on total number of goals scored by an individual player at the tournament, but should there be any level-pegging at the summit come the close of play then the award is settled using tiebreaker criteria: first assists, then fewest minutes played.

UFUNGAJI BORA Kimsingi huamuliwa kwa idadi ya jumla ya magoli yaliyofungwa na mchezaji mwenye magoli yanayo wazidi wapinzani wake kwenye shindano husika, ila inapotokea zaidi ya mchezaji mmoja kulingana kwa UFUNGAJI BORA a anayeongoza Mwisho wa shindano husika, basi vipengele vifuatavyo vitatumika kubaini Mfungaji Bora
1. Idadi ya assist
2. Dakika chache zaidi alizocheza.

KANUNI hii ilitungwa tarehe 15 December 2022 a Shirikisho la
Soka Ulimwenguni FIFA kwa ajili ya Mashindano ya kituo kama
Kombe la Dunia.
Para yako ya mwisho inasema kanuni hiyo ilitungwa na FIFA kwa ajili ya kombe la Dunia. Sio lazima kila mashindano waifuate. TFF wanaweza kuamua vigezo vyao.
 
Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Usilete hisia bwa mdogo.
 
Huwezi kuwa na ushahidi wa magoli ya kimchongo!! Kuwezesha timu kuwa bingwa siyo kigezo kwenye ufungaji bora popote duniani. Ungekuwa unazungumzia mchezaji bora hapo sawa!! Kubalini Mayele amepigwa knock out round ya mwisho na asubiri msimu ujao!!
Na msimu ujao baleke anamsubiri. Watembeze bahasha tiefuefu apate kiatu bila hivyo atatetemeka sana.
 
Back
Top Bottom