Kuhusu mtandao wa BOL

Kuhusu mtandao wa BOL

Joeli

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2011
Posts
4,941
Reaction score
3,414
Baada ya kukumbwa na majanga mfululizo kwa kweli sasa imekuwa ni balaa tupu, internet imekuwa ya kuunga unga sasa leo nikiwa katikati ya mitaa ya mwanza mjini nimekutana na vijana wamevaa tisheti wanapromote huu mtandao basi nikanunua ili nijiunge maana walisema wanatoa unlimited internet....

nimefika ghetto nimeweka line kwa kweli iko na spidi ya kuridhisha atleast kwa kuanzia sina malalamiko, ila kwa wenyeji wa huu mtandao tupeni tathmini yenu hasa amabo mko dar vipi huu mtandao unapiga kazi ama tuendelee kusubiri
1530326_511005389021002_469867240_n.jpg
 
Hii kitu ni kweli maana hata mimi natumia huku arusha tatizo ni kwenye modem haisomi sijui shida ni nn hata ukiweka kwenye simu ya bb tatizo ni hilo ila kwa simu za samsung galaxy inapiga kazi poa
 
Hii kitu ni kweli maana hata mimi natumia huku arusha tatizo ni kwenye modem haisomi sijui shida ni nn hata ukiweka kwenye simu ya bb tatizo ni hilo ila kwa simu za samsung galaxy inapiga kazi poa

Hapa arusha ofisi zao ziko maeneo gani?
 
Baada ya kukumbwa na majanga mfululizo kwa kweli sasa imekuwa ni balaa tupu, internet imekuwa ya kuunga unga sasa leo nikiwa katikati ya mitaa ya mwanza mjini nimekutana na vijana wamevaa tisheti wanapromote huu mtandao basi nikanunua ili nijiunge maana walisema wanatoa unlimited internet....

nimefika ghetto nimeweka line kwa kweli iko na spidi ya kuridhisha atleast kwa kuanzia sina malalamiko, ila kwa wenyeji wa huu mtandao tupeni tathmini yenu hasa amabo mko dar vipi huu mtandao unapiga kazi ama tuendelee kusubiri
1530326_511005389021002_469867240_n.jpg

Basi washamba wame-Upgrade system zao soon wanapata wateja wamaana
mm nilinunua kitambo kidogo na ilikua ni 2G
x2b9.jpg


Rejea hii thread

https://www.jamiiforums.com/tech-ga...m/561856-bol-telecommunication-unlimited.html
 
njunwa wamavoko jamaa nilipomdadisi akaniambia wame nunu liwa na agakhan group na wameanza kusambaa mikoani. mwanza wanaanza officially tarehe 17 march. Ngoja niendelee kuwatumia nione kama wana unafuu ama wazinguaji nitupe kule...
 
Last edited by a moderator:
njunwa wamavoko jamaa nilipomdadisi akaniambia wame nunu liwa na agakhan group na wameanza kusambaa mikoani. mwanza wanaanza officially tarehe 17 march. Ngoja niendelee kuwatumia nione kama wana unafuu ama wazinguaji nitupe kule...

Kama nilivyotembelea tena Web yao basi huu mtandao kwa internet ni kimbilio la watu
Unapta unlimited/month kwa 20,000/- ?
http://www.bolmobile.co.tz/internet-bundles.html


1000/- unapata Unlimited au kuna mambo ya speed cap baada ya 100MB za kudownload?
Kama bundle zao ni Unlimited kweli basi jamaa wako cheap na kwa hiyo speed ya 3Mbps sio mbaya sana...

Ngoja nifagie ufunguni nitafute line yangu fasta maana nimewaelewa/wapenda kwa style fulani hivi kama wamepata 3G
 
Last edited by a moderator:
Kama nilivyotembelea tena Web yao basi huu mtandao kwa internet ni kimbilio la watu
Unapta unlimited/month kwa 20,000/- ?
BOL Mobile


1000/- unapata Unlimited au kuna mambo ya speed cap baada ya 100MB za kudownload?
Kama bundle zao ni Unlimited kweli basi jamaa wako cheap na kwa hiyo speed ya 3Mbps sio mbaya sana...

Ngoja nifagie ufunguni nitafute line yangu fasta maana nimewaelewa/wapenda kwa style fulani hivi kama wamepata 3G

Naenda mjini nanunua vocha ya buku kisha nijiunge na kifurushi nione kama wanapiga unlimited km wanavyosema
 
Naenda mjini nanunua vocha ya buku kisha nijiunge na kifurushi nione kama wanapiga unlimited km wanavyosema

Tunasubiri feedback kama ni unlimited kweli
Mbona watapata shavu tu
 
@C6

Last time nilivyoongea nao hawa watu waliniambia internet yao ni kwa ajili ya simu peke yake. To me kama haifanyi kazi kwenye universal modem basi its a disadvantage

au inafanya kwenye modem pia
 
@C6

Last time nilivyoongea nao hawa watu waliniambia internet yao ni kwa ajili ya simu peke yake. To me kama haifanyi kazi kwenye universal modem basi its a disadvantage

au inafanya kwenye modem pia

picha aliyoweka ni modem ya huawei. so, jibu ni ndiyo.
 
Hao wadude niliwajaribu mwezi uliopita iligoma kabisa kusoma 3G hadi niliposet dashboard ndiyo ikasoma yaani kitu ni Edge labda wawe wameupgrade net siku za karibuni
 
Hao wadude niliwajaribu mwezi uliopita iligoma kabisa kusoma 3G hadi niliposet dashboard ndiyo ikasoma yaani kitu ni Edge labda wawe wameupgrade net siku za karibuni

Possibly wame upgrade asee maana nimefurahi na spidi yao sio mbaya kwa kusurf hata kudownload
 
ngoja nitafute line yao na mimi ni-test kwa kutumia join air connection alafu taleta mrejesho
 
Nakumbuka zamani ... Akija kijijini akija Mgeni kufungua Duka afu akajifanya yeye anauza vitu kwa Bei nafuu sana....... Basi juhudi hufanyika ili kumRoga!
.
Heheee kidding :shetani:
 
Wakuu kama kuna mtu ametumia USB MODEM ya D-Link naomba anijuze utendaji wake wa kazi kuna sehemu nimeziona. Ninayo Huawei e153 ila imeshindikana kuiunlock.
 
Back
Top Bottom