CleaOS
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 260
- 108
Kuuliza sio ujinga. Hivi line zao zitatumika kupiga simu??
Bi Mkubwa... ndiyo ni line ya simu kama zingine.. nakumbuka waliingia sokoni kitambo maeneno ya Arusha..Dar biashara ilikuwa ngumu sana miaka ya 2010