Kuhusu Mtandao mpya wa SMART LET'S TALK

Kuhusu Mtandao mpya wa SMART LET'S TALK

pOLE SAmKUU WANGU, Inachanganya unaweza sema Mdudu ndani ya screen
 
Nlisikia Dar wana mpango wa kuweka 4G ndio maana hawajaweka 3G...
yaah!! hata mm niliwapigia huduma kwa wateja wakasema hawana 3G hapa mjini Koz wanatakaa kuweka 4G lakini nilipowauliza kuhusu lini watakuwa wanapatikana kwa 4G hawakunipa muda sahihi zaidi ya hivi pundee..!!!
ngoja tuwasikiliziee pengine wanawezaa kuwa msaada hapa mjinii..
 
me nimewapigia cm inakata nimeangalia nimeona nzuri kwa mawasiliano 499 mtu inatosha kuongea mpaka basi but sijajua line zake zinapatikanaje wakuu
 
Ila pia nlickia kuwa huu mtandao kene cmu kama tecno na huawei haufanyi kaz unataka smartphones kama samsung,iphone na mengine ambayo ni known worldwide
 
Kama una experience na umeujaribu huu mtandao ambao ni mpya machoni kwetu wengi wetu waweza kutumia labda unaweza kuwa BACKUP ya hali ngumu iliopo sasa kwa HEAVY INTERNET users but with empty pockets

Bundle zao pitia link chini

Bundles & Packages - Smart - Lets Talk

Nisaidie maana mimi ni mvivu wa kufikiri...Eti 079 si ni code ya Benson Informatics??? Je Smart ni mtandao mpya au Jina jipya?
 
Nisaidie maana mimi ni mvivu wa kufikiri...Eti 079 si ni code ya Benson Informatics??? Je Smile ni mtandao mpya au Jina jipya?

Nahisi wameuza rights maana hata sim cards zao zimeandikwa BOL, halafu tunaambiwa hawa ni Agakhan foundation.
 
Nahisi wameuza rights maana hata sim cards zao zimeandikwa BOL, halafu tunaambiwa hawa ni Agakhan foundation.

Basi kuna mtu alisema kua BOL wameuzwa kwa Aghakhan foundation

Rejea thread: Kuhusu Mtandao wa BOL
 
Basi kuna mtu alisema kua BOL wameuzwa kwa Aghakhan foundation

Rejea thread: Kuhusu Mtandao wa BOL

BOL ndio Smart hao hao ambao Aghakhan Foundation walivyonunua walikuwa wanaitwa BOL ila sasa ni SMART kwahio BOL ndio hao hao SMART

In short nadhani bado inabidi wajipange issue ya sim card zao kuchagua simu na modem linawapunguzia sana soko
 
Mtandao uko poa mkuu.. Line zake zinasoma kwenye unlocked hilink modem(voda) au hata kwenye sim then ukafanya kushare hotspot. Niko dar so nakamata 2G tu nashindwa kuutumia vilivyo.Ila nina ndugu yupo mbeya wao wanakamata 3G na HSDPA. Kwa bundle ya unlimited 24hrs ya tshs1000 anaweza kushusha hadi 20GB. So uko vizuri kwa kuanzia...

Inaweza ikasoma kwenye simu zenye ziko locked toka usa??


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Inaweza ikasoma kwenye simu zenye ziko locked toka usa??


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums

Jaribu its only buku mbili hauna cha kupoteza mimi nilijaribu ikagoma kwenye modem zangu kama tatu nikaiweka kando.., jamaa wameniambia inakubali kwenye modem ya Huawei ambayo mimi sina
 
Back
Top Bottom