msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,189
Miradi mingine huwa inaamuliwa na taifa?
Nielewe mimi sikupinga miradi kwenda huko hata kama miradi yote itasimama kwanza tukajenga Chato ni sawa tuu lkn tuamue kama Taifa na si kikundi kidogo cha watu