Huna lolote wewe kijana usiingize siasa ktk uhai wa watu,Serikali inashughulikia matatizo ya madaktari kwani ni mazito na yanahitaji upembuzi yakinifu.mbona mnajitia kimbelembele ktk mambo ya watu baada ya kuimarisha chama chenu kiwe cha Kitaifa kwa kupata wawakilishi Tanzania Zanzibar.jengeni Chama kwa kufungua matawi wete pemba,mbona mnashindwa na cuf wenzenu wana wabunge Tz bara na Tz Zanzibar chama chao ni cha Kitaifa kipo pemba Mpaka Tarime.Si umepewa Uenezi we kijana eneza chama chako Zanzibar.