Mechi hiyo kama itachezwa ,Yanga ataongoza kwa magoli la mapema kabisa,baadaye Yanga watapata penalt ya halali kabisa.mashabiki wa simba wataingia uwanjani na mchezo kuvurugika.
Mechi hiyo kama itachezwa ,Yanga ataongoza kwa magoli la mapema kabisa,baadaye Yanga watapata penalt ya halali kabisa.mashabiki wa simba wataingia uwanjani na mchezo kuvurugika.
Mechi hiyo kama itachezwa ,Yanga ataongoza kwa magoli la mapema kabisa,baadaye Yanga watapata penalt ya halali kabisa.mashabiki wa simba wataingia uwanjani na mchezo kuvurugika.
Usipuuzwe hii mechi ingefaa ichezwe bila mashabiki au wawe wachache sana kama zinavyokuwa mechi za Cairo maana Simba wa Sasa chini ya Zubeda akili wametupa mbali sana wanaendeshwa kwa hisia (refer mechi na Berkane walivyoaibisha Zanzibar tena hadi kigogo mpiga simu nae akaandika shudu mtandaoni)