[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Manyuu mnapata TabuuAjax wameifunga Chelsea yenye wachezaji 11 na kocha wao akiwa anaangalia mchezo ila Chelsea wamerudisha magoli kwa Ajax yenye wachezaji 9,tatizo refa alibeti ila Chelsea alikuwa anakufa mkono
Mwaka 1999 dk za nyongeza dunia ilibaki kinywa wazi baada ya Bayern kupigwa goli mbili na man utd kubeba ndio ya uefa best come back ever,Manyuu wanaweza kupiga come bak kama hiyo?