Kuhusu mechi ya Chelsea vs Ajax

Kuhusu mechi ya Chelsea vs Ajax

Manyuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujaacha 2 kuishabikia???
 
Sio kwamba pressure waliyopewa ndio iliyopelekea wakafanya fouls zilizopelekea red card's?
Watu wanapokuwa wanalisakama lango la adui hayo ndio hutokea ili mradi matokeo yapatikane,either penalty au cards.
Kwaio ilikuwa ni perfect comeback from the blues.
Ajax ilikuwa wafe kabisa.
Asantee huyo shbiki wa manyu kaelewaa
 
Wachambuzi wengi wa michezo ni zero kabisa. Kabla sijasoma mengi nimekutana na neno "kuusu" na neno balani. Nikamdharau mleta mada na sikuendelea kusoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vp umeelewa lakin
 
Zaburi 23

Kajifunze kiswahili kwanza,
Hichi na
Balan,
Mnaambiwa msivute bangi zina madhara lakini hamuelewi, hapo umechambua soka au umeandika mipasho?
 
Umeandika kishabiki sana kujifariji na timu yenu mbovu hiyo, magoli mawili wachezaji wenu wanajifunga wenyewe penati mmekosa bahati imewabeba .
 
Manyuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujaacha 2 kuishabikia???
Mimi sijawahi kuishabikia Man u.Mimi najulikana wazi timu niishabikiayo.
 
Ajax wameifunga Chelsea yenye wachezaji 11 na kocha wao akiwa anaangalia mchezo ila Chelsea wamerudisha magoli kwa Ajax yenye wachezaji 9,tatizo refa alibeti ila Chelsea alikuwa anakufa mkono
 
Chelsea wameifunga team ya watu nane.. 😂😂
halafu wanajigamba.. tena ilibidi washinde kabisaa.
Kama Ajax wangebaki vile vile 11 Chelsea wangekuwa wanalia sasa hivi...
 
Back
Top Bottom