gollocko
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 2,945
- 2,275
Na wewe umeongeza upumbavu kwa kutaja kanisaUngeweka na ushaidi isiwe umetumwa na kanisa,,,furaha yako we mpumbavu ni hayo matukio kuhusishwa na uislamu? ??? Ivi unadhani ikifikia huko unavyotaka wewe unadhani kuna atakae baki salama???? Mnataka kuleta mambo ya huko Somalia yaje kwetu nyi wapumbavu wachache,,
Naona hapo unaomba serikali itangaze vita na uislamu kwa kudhani ndo itakuwa suluisho ya hayo yanayotokea huko mkoa pwani, ,,,,, Hao wapuuzi wachache wanaowaua watu wasio na hatia ni wahalifu km wahalifu wengine, hawahusiani na DINI, , kwa maana wanawaua pia hadi wale wa imani yao ,,