alsaidy
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 334
- 88
Wakuu,
Naomba kuwakilisha kama ifuatavyo:-
Tunatumia modem ya zantel katika kupata internet katika office iliyo na wafanyakazi watatu nikiwepo mimi mwenyewe. Tumenunua wireless router za mwanzo zilizouzwa na zantel ambazo unaplug modem yako katika hiyo router then ndio inatupa wireless na sehemu ya cable kwa user 1.
Hivi karibuni tuliweka 2Gb mida ya 1 usiku kufika saa 7 mchana siku ya pili ngoma imekwisha. Kila tukipiga hesabu ni almost impossible kwa kipindi chini ya 24hrs kumaliza 2Gb. Kumbuka wireless tumeweka password kwa kutumia WEP ili mtu wa nje asipate access.
Nilivyokwenda office za Zantel walinitolea matumizi yangu kitu ambacho sielewi wala sijui zimetafunwa vipi.
Msaada kwenu wana JF kwa mambo matatu:-
1. Kuna mtumiaji yoyote anaetumia modem ya zantel ambae matumizi yake hayalingani na matumizi halisi na modem inavyokata?
2. Kuna software yoyote ambayo ninaweza ku install ambayo ita govern matumizi yangu ya internet ili nipate ku compare na data za zantel?
3. Je mitandao mengine iko kama hii au?
Kitu ambacho nimekipenda sana zantel ambacho kinachonivutia sana ni speed ya internet it is just superb!!!
Ki ukweli nahisi zantel wanatuchakachua lakini nataka kupata ushahidi wa kutosha katika hili.
Naomba kuwakilisha kama ifuatavyo:-
Tunatumia modem ya zantel katika kupata internet katika office iliyo na wafanyakazi watatu nikiwepo mimi mwenyewe. Tumenunua wireless router za mwanzo zilizouzwa na zantel ambazo unaplug modem yako katika hiyo router then ndio inatupa wireless na sehemu ya cable kwa user 1.
Hivi karibuni tuliweka 2Gb mida ya 1 usiku kufika saa 7 mchana siku ya pili ngoma imekwisha. Kila tukipiga hesabu ni almost impossible kwa kipindi chini ya 24hrs kumaliza 2Gb. Kumbuka wireless tumeweka password kwa kutumia WEP ili mtu wa nje asipate access.
Nilivyokwenda office za Zantel walinitolea matumizi yangu kitu ambacho sielewi wala sijui zimetafunwa vipi.
Msaada kwenu wana JF kwa mambo matatu:-
1. Kuna mtumiaji yoyote anaetumia modem ya zantel ambae matumizi yake hayalingani na matumizi halisi na modem inavyokata?
2. Kuna software yoyote ambayo ninaweza ku install ambayo ita govern matumizi yangu ya internet ili nipate ku compare na data za zantel?
3. Je mitandao mengine iko kama hii au?
Kitu ambacho nimekipenda sana zantel ambacho kinachonivutia sana ni speed ya internet it is just superb!!!
Ki ukweli nahisi zantel wanatuchakachua lakini nataka kupata ushahidi wa kutosha katika hili.