Kwanini wanatangaza nafasi za kazi wakati wamekwisha wapa watu wao hizo nafasi, utakutana na tangazo la kazi lakini nyuma ya pazia tayari zimeshajazwa, ni kwanini hivi.?
Je kuna sheria inawalazimu kuzitangaza hata kama watu wao wameshazipachikwa.!
you are damn right. kila kampuni binafsi au private ni lazima litangaze nafasi za kazi... haya mambo wanawekeana kwenye mikataba. haijalishi nafasi wataingia watu wao au nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.