Kuhusu Mashine ya Kuatamisha mayai(Incubators) Majibu ya TRA

Na sijui Agent mwaminifi ni yupi make hata ghalama zingine kuacha kodi ni za kupandikiza na ukitaka kujua hilo wewe fanya mawasiliano na Agent zaidi ya wawili, kila mmoja anakuja na ghalama tofauti za Bandalini, utazani kila agent anatozwa ghalama tofauti
Mkuu inawezekana ikawa kila agent ana bei yake. Kwani yeye huwa anakutajia bei ya kodi tu? yeye hataki kulipwa kwa huduma yake?

Pia kila mtu na ujanja wake bandarini, wengine wao they dont declare the real quantity of items na wanapenya fresh.

Go for a cheap price, you expose yourself to risks.....
 
Mkuu inawezekana ikawa kila agent ana bei yake. Kwani yeye huwa anakutajia bei ya kodi tu? yeye hataki kulipwa kwa huduma yake?

Pia kila mtu na ujanja wake bandarini, wengine wao they dont declare the real quantity of items na wanapenya fresh.

Go for a cheap price, you expose yourself to risks.....
Mkuu hii post ni ya zamani sana sijui hata nani kaibua.

Nisha agiza sana baada ya hii post so hakuna tatizo kwa sasa.
 
Mkuu aina zipi ni bora ; nataka kuagiza toka China; kama una uzoefu tafadhali
Hizi mashine kwa sasa zipo nyingi tu Bongo. Kuna Wachina wako Ubungo unaweza waona wanazo na ni the same kwa 100%.

Mwanzoni ndo ilikuwa ishu. Ila pia kama unataka kuagiza nje ni sawa quality ni the same kwa producer wote tu
 
Nimepeleleza pale TRA wanasema ni lazima utumie Agents kutoa mzigo hakuna mtu individual kama zamani; sasa inategemea na urgent wako akiamua kukulima kodi ya kufa mtu haya !! TRA wamegoma kutoa approx Customs clearing charges ingawa tayari nina Invoice toka supplier.
 
Back
Top Bottom