jponcian
Member
- Oct 2, 2011
- 65
- 24
Wadau naombeni kuuliza kwa wale walioomba mikopo bodi ya mikopo, mkiingia kwenye akaunti zenu mnakuta mmeandikiwa nini? Mi nimewaangalizia watu wawili nakuta wameandikiwa hawakuomba mkopo kwa mwaka huu! Na wakati wameomba na fomu za maombi wakatuma kwa ems kama bodi walivyoelekeza. Nyie mnaona nini kwenye akaunti zenu?
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.