Kuhusu maombi ya mkopo HESLB

Sawa mkuu sasa nimekwama kwenye security code sikumbuki kama nilipewa kwenye cafe
 
Umenena vyema mkuu, nadhani system haijakaa vizuri ndo maana tunakutana na sintofahamu hizo. Ngoja tusubiri pengine heslb wanaweza kutolea majibu.
 
dah "Did not apply for Higher Education Student's Loan for 2016/17 Academic Year"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…