Kuhusu Mama Samia Bond za CRDB

Kuhusu Mama Samia Bond za CRDB

Tulitangaziwa na kuaminishwa na CRDB juu ya Mama Samia Bond kuwa ni uwekezaji mzuri unaotoa faida 13% baada ya miezi mitatu.

Mimi niliona ni fursa na nikaweka fedha zangu mwanzoni mwa Januari, 2025 nikitarajia kuwa baada ya miezi mitatu nitawekewa gawio langu la 13%.

Mpaka leo sijawekewa gawio langu na tayari imepita miezi mitatu.

Ninaiomba CRDB itujibu na kama haiwezekani basi wanirudishie fedha zangu nizielekeze mahali panapoweza kuzalisha faida zaidi kama biashara.

Hii ni taarifa ya mwisho baada ya hapa natarajia kuwachukulia hatua CRD
nenda bank Moja kwa Moja, uta pata maelekezo.

halafu why u risk kuwekeza kwenye mfuko ulio pewa hype ya ghafla, ikiwa Kuna sehemu nyingine zilizo salama.

Mkuu usiwape hofu wadau. Samia bond ni bond halali na ipo katika soko la hisa. Hivyo unaweza kuuza au kununua samia bond

Katika tovuti yao, malipo yanaanza leo na kuendelea kama ifuatavyo (
10th May, 10th August, 10th November and
10th February each year up to and
including the Maturity Date.)

Hivyo msiwe na hofu wakuu. Pesa ikiingia leo mtupe mrejesho.

Maelezo zaidi

https://crdbbank.co.tz/storage/app/...nglish Version - FINAL APPROVED BY CMSA-1.pdf
 
Ninawashukuru kwa kunielewesha. Ni kweli asilimia 13% ni kwa mwaka. Hivyo asilimia 13% kwa mwaka inapaswa igawanywe kwa 4 ili ikupe gawio la kila miezi mitatu.
Nishawahi kudharirika hivi hivi nikajiona kama kijimbwa cha mapambo ,hivi hivi kukurupuka kurupuka nikaingia kwenye maofisi ya watu jazba limenipanda mishipa ya shingo imedisa kama nimepakwa mkongo ,kilichofuata aibu yangu

Sasa bwashee ulitishia mpaka kuwashtaki crdb🤣🤣

Hebu leta kwanza mbuzi mbili za wazee tunywe supu kwanza alafu tukusamehee
 
Mkuu usiwapo hofu wadau. Samia bond ni bond halali na ipo katika soko la hisa. Hivyo unaweza kuuza au kununua samia bond

Katika tovuti yao, malipo yanaanza leo na kuendelea kama ifuatavyo (
10th May, 10th August, 10th November and
10th February each year up to and
including the Maturity Date.)

Hivyo msiwe na hofu wakuu. Pesa ikiingia leo mtupe mrejesho.

Maelezo zaidi

https://crdbbank.co.tz/storage/app/...nglish Version - FINAL APPROVED BY CMSA-1.pdf
HIvi nyinyi marketing officers mkisha kulaga hizo laki 3 kwa mwezi, huwa mna ona watu ni wajinga namna hiyo?
 
HIvi nyinyi marketing officers mkisha kulaga hizo laki 3 kwa mwezi, huwa mna ona watu ni wajinga namna hiyo?
Tuliza akili mkuu, hide your stupidity usidhalilike

1. Wewe nani kakwambia mimi ni marketing officer ?

2. Una uhakika natengeneza laki 3 kwa mwezi ?

3. Kuna shida gani kwenye maelezo niliomsaidia ndugu yangu ?
 
Mkuu usiwapo hofu wadau. Samia bond ni bond halali na ipo katika soko la hisa. Hivyo unaweza kuuza au kununua samia bond

Katika tovuti yao, malipo yanaanza leo na kuendelea kama ifuatavyo (
10th May, 10th August, 10th November and
10th February each year up to and
including the Maturity Date.)

Hivyo msiwe na hofu wakuu. Pesa ikiingia leo mtupe mrejesho.

Maelezo zaidi

https://crdbbank.co.tz/storage/app/...nglish Version - FINAL APPROVED BY CMSA-1.pdf
Me sitaki kufanya biashara ya hisa nataka kutoa changu tu. Kwani mmevunja mkataba wa gawio la kila quarter
 
Me sitaki kufanya biashara ya hisa nataka kutoa changu tu.
Ukitaka kutoa chako maana yake ni wewe kuuza bond yako ya Samia kwa mtu anaehitaji. Hii inafanyika kupitia soko la hisa la Dar (DSE)

Mauzo katika DSE yanapitia brokers(madalali) waliosajiliwa na wapo katika tovuti ya DSE. Wacheki mmoja wapo kisha watakupa maelezo ya nini ufanya + kamisheni zao zikoje
 
Ukitaka kutoa chako maana yake ni wewe kuuza bond yako ya Samia kwa mtu anaehitaji. Hii inafanyika kupitia soko la hisa la Dar (DSE)

Mauzo katika DSE yanapitia brokers(madalali) waliosajiliwa na wapo katika tovuti ya DSE. Wacheki mmoja wapo kisha watakupa maelezo ya nini ufanya + kamisheni zao zikoje
Nahitaji cash sihitaji kuanza kufanya biashara ndio maana nimehifadhi humu ningetaka biashara si ningeenda kariakoo!? Ile faida ya baada ya miezi mitatu nilikuwa na kazi nayo naona wadau wako kimya as if nothing happened sasa si bora waturudishie ambazo hawana matumizi nazo
 
Kwenye Mama Samia Bond ukiweka 100M unatakiwa baada ya miezi mitatu unawekewa kwenye akaunti yako 3M na hivyo kwa mwaka ni 12M. Wengine tuliweka tarehe 2 January, 2025 na hivyo ningepata gawio langu la kwanza 2 Aprili, 2025. Tuliamini Benki yetu na Serikali yetu ya Mama ni sehemu salama. Hivyo tunaomba watuwekee gawio kwenye akaunti zetu.
 
Nahitaji cash sihitaji kuanza kufanya biashara ndio maana nimehifadhi humu ningetaka biashara si ningeenda kariakoo!? Ile faida ya baada ya miezi mitatu nilikuwa na kazi nayo naona wadau wako kimya as if nothing happened sasa si bora waturudishie ambazo hawana matumizi nazo
Mkuu sasa naona tunashindwa kuelewana. Najaribu kukusaidia namna ya kupata pesa zako. Bonds & Shares sio biashara ya mtaani useme utapewa pesa yako unapohitaji. ina taratibu zake

CRDB walisema tarehe rasmi ya bond kufahamika kihalali ni 10 February. Haikujalisha ulinunua lini.

Miezi 3 ni leo 10 May. Leo ikipita hujapata pesa yako, J3 wafate CRDB

Ni muhimu muwe mnasoma na kuelewa hivi vitu kabla ya kufanya maamuzi
 
Kwenye Mama Samia Bond ukiweka 100M unatakiwa baada ya miezi mitatu unawekewa kwenye akaunti yako 3M na hivyo kwa mwaka ni 12M. Wengine tuliweka tarehe 2 January, 2025 na hivyo ningepata gawio langu la kwanza 2 Aprili, 2025. Tuliamini Benki yetu na Serikali yetu ya Mama ni sehemu salama. Hivyo tunaomba watuwekee gawio kwenye akaunti zetu.
Mkuu hata mimi niliweka mwezi huo huo sema siweki tarehe kwa sababu za kiprivacy, bora hata wangetoa taarifa kwamba pesa zimekuwa nyingi mno hatuna matumizi nazo hivyo zilizozidi tunazirudisha, ila naona wako kimya faida hawatoi na muda unazidi kwenda imagine miaka mitano unaweka bondi 100M mwisho wa siku unaikuta kama ilivyo, ni bora kama wameshindwa kuzalisha turejeshewe principle kama ilivyo mapema tufanyie vitu vingine kuna ujenzi, uwekezaji mwingine etc,
Nawasilisha.
 
Kwenye Mama Samia Bond ukiweka 100M unatakiwa baada ya miezi mitatu unawekewa kwenye akaunti yako 3M na hivyo kwa mwaka ni 12M. Wengine tuliweka tarehe 2 January, 2025 na hivyo ningepata gawio langu la kwanza 2 Aprili, 2025. Tuliamini Benki yetu na Serikali yetu ya Mama ni sehemu salama. Hivyo tunaomba watuwekee gawio kwenye akaunti zetu.
CRDB walisema tarehe rasmi ya bond kufahamika kihalali ni 10 February. Haikujalisha ulinunua lini. Miezi 3 ni leo 10 May

Ni muhimu muwe mnasoma hivi vitu kabla ya kufanya maamuzi
 
Mkuu sasa naona tunashindwa kuelewana. Najaribu kukusaidia namna ya kupata pesa zako. Bonds & Shares sio biashara ya mtaani useme utapewa pesa yako unapohitaji. ina taratibu zake

CRDB walisema tarehe rasmi ya bond kufahamika kihalali ni 10 February. Haikujalisha ulinunua lini.

Miezi 3 ni leo 10 May. Leo ikipita hujapata pesa yako, J3 wafate CRDB

Ni muhimu muwe mnasoma na kuelewa hivi vitu kabla ya kufanya maamuzi
Sawa marketing officer J3 sio mbali usitengue kauli tu(usihamishe goal post)
 
Kwanza Nikushauri
CCM Kila Jambo Lao Ujue Mwisho Wake Mbaya

Ogopa CCM Sehemu Yoyote Ilipo, Inapoandikwa
HAo Wameidumaza Tanzania
 
Nilichogundua wengi wanalaghaiwa kwenye maswala ya hela ni wenye elimu kubwa sana.
 
Back
Top Bottom