Kuhusu Mama Samia Bond za CRDB

Kuhusu Mama Samia Bond za CRDB

wewe hiyo 13% umeitoa wapi? tembea na hii apa hlf uigawe kwa 4 utajua unapata ngapi kila miezi 3.
Screenshot_20250510-132117_Chrome.jpg
 
Tulitangaziwa na kuaminishwa na CRDB juu ya Mama Samia Bond kuwa ni uwekezaji mzuri unaotoa faida 13% baada ya miezi mitatu.

Mimi niliona ni fursa na nikaweka fedha zangu mwanzoni mwa Januari, 2025 nikitarajia kuwa baada ya miezi mitatu nitawekewa gawio langu la 13%.

Mpaka leo sijawekewa gawio langu na tayari imepita miezi mitatu.

Ninaiomba CRDB itujibu na kama haiwezekani basi wanirudishie fedha zangu nizielekeze mahali panapoweza kuzalisha faida zaidi kama biashara.

Hii ni taarifa ya mwisho baada ya hapa natarajia kuwachukulia hatua CRDB.
Sasa kwanini usiende crdb ukapewe jibu la uhakika kuliko kuja hapa,huu ni ukosefu wa busara ama sio kweli wewe umewekeza kwenye hizo bond
 
Back
Top Bottom