Tulitangaziwa na kuaminishwa na CRDB juu ya Mama Samia Bond kuwa ni uwekezaji mzuri unaotoa faida 13% baada ya miezi mitatu.
Mimi niliona ni fursa na nikaweka fedha zangu mwanzoni mwa Januari, 2025 nikitarajia kuwa baada ya miezi mitatu nitawekewa gawio langu la 13%.
Mpaka leo sijawekewa gawio langu na tayari imepita miezi mitatu.
Ninaiomba CRDB itujibu na kama haiwezekani basi wanirudishie fedha zangu nizielekeze mahali panapoweza kuzalisha faida zaidi kama biashara.
Hii ni taarifa ya mwisho baada ya hapa natarajia kuwachukulia hatua CRDB.
Mimi niliona ni fursa na nikaweka fedha zangu mwanzoni mwa Januari, 2025 nikitarajia kuwa baada ya miezi mitatu nitawekewa gawio langu la 13%.
Mpaka leo sijawekewa gawio langu na tayari imepita miezi mitatu.
Ninaiomba CRDB itujibu na kama haiwezekani basi wanirudishie fedha zangu nizielekeze mahali panapoweza kuzalisha faida zaidi kama biashara.
Hii ni taarifa ya mwisho baada ya hapa natarajia kuwachukulia hatua CRDB.